Dawa: Akina dada wachepukaji

sasa sababu ya kumtumia baba ake hio clip ni nini?? Kwani yeye aliituma kwa mama wa huyo jamaa yako??!!!
Ili kujua tabia ya bintiye na asije shangaa mbona hawako pamoja.
Anyway na huyo binti kwa nini alituma hiyo video kwa x wake?
 
ili kujua tabia ya bintiye na asije shangaa mbona hawako pamoja.
Anyway na huyo binti kwa nini alituma hiyo video kwa x wake?

mi nawasiwasi huyu hajatuelezea vizuri ugomvi wao wote.....pia yawezekana jamaa kazi hawezi akamtumia video kumdolishia mwanaume mwenzie
 


Fanya yako na rafiki yako katu msimwingize baba mkwe mtarajiwa katika upuuzi huo. Mzee wa watu ana kosa gani?
 
sasa kumtumia baba yake mzazi ni upungufu wa akili huo ,, wote walikuwa hawana akili....... walikutana kama hupendwi hata ufanyaje hutapendwa

Sasa kumtumia ex wako ni upungufu wa akiki huo wote walikua hawana akiki walikutana kama nimemwacha kwa nini anirushie ?
 
I don't like him, But at this point I couldn't agree more! I was literally just saying this....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…