huyu ukawa wakiingia ikulu wamfanyie special audit kama kweli analipa kodi stahiki,ukiona mfanyabiashara yumo ccm inabidi uwe na mashaka.
lemutuz ana mdanganya boss wake....Mosh sio sehemu nyingine
Ukweli ni kwamba mtu pekee aliyekua na uwezo wa kuitoa chadema moshi ni mama minde kwa nguvu aliyokua nayo na sapot ya serikali davis mosha hawezi hakubaliki pia kapata ushindi kwa kuhonga wapiga kura
Kiongozi siku hizi unasoma chuo gani? Michango yako imekaa ki professor!
Picha namba moja tu hapo kapiga na matapel! Huyo jamaa mwingine ukimuondoa le jingaz anaitwa jully ni tapel la siasa la kutupwa! Mosha umeingizwa cha kike mnama