View attachment 2601717
View attachment 2601674
View attachment 2601675
Star wa muziki wa Afro Beats kutoka Nigeria amejizawadia ndinga mpya aina Mercedes Benz Maybach Virgil Abloh mpya kabisa.
Gari hizo zimetengenezwa 150 tu na sasa Davido atakuwa kati ya Watu 150 wenye gari hizo dunia nzima.
Asante mkuu.. acha hata nitafute scholarship hapoView attachment 2601725
Wale wanaotaka ufadhili kwenye chuo cha akina davido waapply
asake wa tandale anasemaje?
Unavyojua kuitika sawa kinyonge😂Sawa.
Nitafanyaje sasa, na hata baiskeli sina😂Unavyojua kuitika sawa kinyonge😂
KumbeDavido kwao matajiri, wala hutakiwi kujifanya unashauri lolote maana kati ya familia 20 tajiri nigeria na familia ya akina davido imo, wale ni dollar billionaires, amezaliwa anakuta visima vya mafuta, viwanda, mabenki, vyuo vyote vipo hatumii pesa kwa showoff bali anatumia zilizopo kwao tayari na kwa bongo wasanii wenye pesa kumshinda hawapo na hawajatokea na hawatotokea,
😂😂😂Sawa.