Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,485
- 2,752
Mimi nakubali Zitto anawazidi wabunge wengi wa ccm kasoro Serukamba. Kwa kweli ccm nzima wabunge wake awe wa jimbo hata viti maalum hayupo wa kutia mapua kwa Serukamba kwa sifa yoyote ile. Mwingine wa aina ya Serukamba angekuwa Deo Filikunjombe kama mungu angemwacha hai. Ukawa hayupo m-bunge wa kumlinganisha na Zitto wanamzidi kwa mbali.
mkuu mbunge wa ccm mwingine anayeheshimika ni Mpina huyu jamaa anahoja nzito sana anajielewa sio kama wakina lusinde,mshama