David Kafulila ndani ya kipindi cha DAKIKA 45 ITV

David Kafulila ndani ya kipindi cha DAKIKA 45 ITV

Haka kajamaa kako vizuri kwa kweli
ila alipochemsha ni kwamba badala ya kutoza PAYEE yeye atahakikisha wenye nyumba wote mijini wanalipa kodi akasahau that the very moment anafanya hivyo kodi za nyumba zitapaa kiasi kwamba itabidi tuanzishe "kibera" katika miji yote!
 
Mkumbushe na mwenzio asikose kabisa kusikiliza kipindi hiki muhimu.

Leo saa tatu usiku katika kipindi cha Dk45 cha ITV atakuwepo Mh. Kafulila(MB) akifanya tathimini ya miaka kumi ya JK, Uchumi, Bajeti na Ufisadi na Kwanini UKAWA inatosha Oktoba!

USIKOSE KUMSIKILIZA
Huyo anafahamika ni kibaraka wa mtendaji wa IPP
 
ila alipochemsha ni kwamba badala ya kutoza PAYEE yeye atahakikisha wenye nyumba wote mijini wanalipa kodi akasahau that the very moment anafanya hivyo kodi za nyumba zitapaa kiasi kwamba itabidi tuanzishe "kibera" katika miji yote!
Hilo ni wazo la Zitto Kabwe kipindi kile ni Waziri wa Fedha kivuli.Napingana na wazo hili kabisa,maana biashara za nyumba za kupangisha zitakufa rasmi na hivyo kuongeza idadi ya watu wasio na ajira nchini.Watu wanapangisha vyumba ili wapate vijihela vya kujikimu na maisha.
 
Hilo ni wazo la Zitto Kabwe kipindi kile ni Waziri wa Fedha kivuli.Napingana na wazo hili kabisa,maana biashara za nyumba za kupangisha zitakufa rasmi na hivyo kuongeza idadi ya watu wasio na ajira nchini.Watu wanapangisha vyumba ili wapate vijihela vya kujikimu na maisha.

Mnalea mabepari, mlalahoi gani atamiliki nyumba ya kupangisha? Kama wewe ni mmiliki wa nyumba ya kupangisha jiondoe kwenye kundi la walalahoi na ulipe kodi. Muuza voucher na madaftari analipa kodi na faida yake hata laki mbili haifiki kwa mwezi, we upokee milioni na upuuzi kwa mwezi afu uachwe tu usilipe kodi.
 
Back
Top Bottom