Amezungumzia Escrow,kwamba kama rais alisema pesa si za umma iweje wale jamaa wafunguliwe mashtaka.anatoa mfano hapa,ni lini watu wakashtakiwa kwa kugawiwa pesa na Bahresa
Anaeleza kuhusu mabehewa,anaeleza jinsi uchakachuaji ulivyofanyika.Mzabuni alilipwa kabla ya mzigo kufika.iweje kuna wazabuni wamefanya kazi hawajalipwa mpaka leo.Anataka mawaziri wawajibike
Kafulila ameivua serikali ya CCM nguo na kuiacha uchi wa mnyama, ni aibu kubwa kwa serikali hii, watanzania tujifunze kukinai, ccm wanatupeleka kubaya, tusipochukua hatua tutakufa maskini na kwa mungu tutaadhibiwa kwa kukubali kudhulumiwa na kakikundi ka wahuni wachache
leo saa tatu atakua mh devid kafulila katika kipindi cha dak 45 ITV...atazungumzia mengi usiyoyafaham kuhusu escro na sakata la mabehewa feki.....pia kushuka kwa thamani ya shilingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.