David Kafulila: Hizi ndio sababu za shilingi yetu kuporomoka

Mhere Mwita

JF-Expert Member
Jan 24, 2012
235
1,275
Shilingi yetu imeshuka thamani kwa kasi kwasababu za ndani na nje.
1.Sababu za nje ni kupanda kwa thamani ya dola dhidi ya sarafu zote duniani..
2.Sababu ya ndani kwetu ni ukosefu mkubwa wa dola kutokana na kukwama kwa mikopo na misaada ilotarajiwa sanjari na kupungua kwa kiasi cha dola kwenye bank zetu kutokana na dosari za kiuchumi hapa katikati

3. Nikwasababu hizo za ndani ndio mana mtikisiko wa nje umesababisha shilingi yetu kuyumba kwa zaidi ya 5% ndani ya mwezi huu wakati shilingi ya Kenya ikiyumba kwa 1.8% kwa zaidi ya miezi miwili.
 
Africa currencies.jpg
 
Mbona baada ya kuapishwa Trump tunarudi kwenye rate tuliokuwa? Na hiyo rate imekuwa hapo tokea mwaka juzi kikwete alipotoka
 
Tunatoa nyongo kabla Malaika hajashuka kuzima mitandao
Ingependeza kama Tungekuwa wajenga soln sio point Fingers kuna watu wao hudumisha fikra za mwenYekiti tu ..Hawana soln na chochote zaidi Ya kuwaita wenzao maneno Ya shombo kuna wengine wao kila Tatizo soln kwao ni kuwatupia lawama wenzao wengine ndo hawa wanajivika usemaji wa maswala mtambuka Ya kitaifa ...
 
Back
Top Bottom