Tumebadili Masafa yetu katika satellite nitakupostia hapa baadaye hizo changesStar tv haipatikani kwenye dishi langu. Nifanyeje wandugu.?.
maswali muliyomuuliza yanatosha kumuonyesha ajue kua ni mbovu.cha msing ajirekebishe arudi cdm tutampokea kama hatakua mamluki
Tumebadili Masafa yetu katika satellite nitakupostia hapa baadaye hizo changes
Namuuliza kafulila kutokana na trend ya kutimuliwa ktk vyama viwili chadema(mwanzo) na nccr(sasa),hapo hawezi onekana kwamba yeye ndio mwenye matatizo?
Yahaya tuwekee hapa jamvini wote tuone hata sisi hatupati star tv