GE2025 David Ernest Silinde Awaapisha wanatunduma kumpigia Mgombea urais kupitia CCM

GE2025 David Ernest Silinde Awaapisha wanatunduma kumpigia Mgombea urais kupitia CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mgombea ubunge wa jimbo la Tunduma kupitia chama cha mapinduzi CCM amewaapisha wanatunduma kumpigia Mgombea wa nafasi ya urais kupitia chama hicho Samia Suluhu Hassan, amefanya hivyo leo katika kampeni za chama hicho Tunduma, mkoani Songwe.
 
Back
Top Bottom