Daudi Mwakawago afariki Dunia

Status
Not open for further replies.

Sir Leem

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2008
Posts
589
Reaction score
128


Mwanasiasa Mkongwe nchini Balozi Daudi Mwakawago amefariki dunia Jijini Dar e salaam.

Mwakawago alipata kushika nyadhifa mabli mbali za Kiasiasa nchini, Ubunge Iringa Mjini, Uwaziri, Balozi wa Kudumu UN
 
RIP Mwakawago. Poleni wafiwa wote. Mungu awafariji katika wakati huu wa msiba.
 
RIP Mr David Mwakawago.

Majuzi nilimshuhudia kwenye tv talk show ya MaryRose Star TV..
 
Mwanasiasa Mkongwe nchini Balozi Daudi Mwakawago amefariki dunia Jijini Dar e salaam
Mwakawago alipata kushika nyadhifa mabli mbali za Kiasiasa nchini,Ubunge Iringa Mjini,Uwaziri,Balozi wa Kudumu UN

Alikuwepo? Siku hizi nimeshasahau nani yupo na nani kashaondoka!
 
Mwanasiasa Mkongwe nchini Balozi Daudi Mwakawago amefariki dunia Jijini Dar e salaam.

Mwakawago alipata kushika nyadhifa mabli mbali za Kiasiasa nchini, Ubunge Iringa Mjini, Uwaziri, Balozi wa Kudumu UN
Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahala pema peponi.Ameni
 
RIP mzee wetu mwakawago,nakumbuka alitoa mchango mzuri kwenye kongamano la mwalimu Nyerere foundtion lililofanyika mwishoni mwa mwaka jana amabalo viongozi wetu wengi walilibeza sana.
 
RIP Mzee.
Poleni wanafamilia.
 
Du! hata mimi nilimshuhudia star tv kwenye kipindi cha Mary rose Talk show,akiongelea kuhusu maadili.Alitoa ujumbe mzito kuhusu mafisadi na wezi wa raslimali za taifa.PUMZIKA MZEE!!!!!!!!!!!!
 

Late H.E Balozi Mwakawago
Poleni wafiwa. Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa.
 
Tulifahamiana na Daudi Mwakawago na alikuwa Mzalendo wa kweli. Nilifurahia sana mijadala tulioshiriki pamoja.

Poleni wote wafiwa. Mungu awafariji na kuwaimarisha wakati huu mgumu.

Roho ya marehemu ipumzike mahala pema milele. AMEN.
 
- Ni jana tu nilipata info kwamba amepelekwa Nairobi ghafla, loh! Mungu amuweke pema, aliwahi kuwa jirani yangu nikiwa mtoto na mama yangu mzazi alikuwa secretary wake wa muda mrefu sana enzi hizo akiwa Mkuu wa Chuo Cha Kivukoni College kabla hakijawa cha CCM, na later in life he became my close friend, lakini as a political leader nitasema hukumu yangu later kwa sasa ngoja nimkumbuke kwanza he was a good man at heart!

- Salam zangu za rambi rambi kwa familia nzima Wakuu Kiye, Lulu, Tagge, Imani na Patrim, pamoja na mama, Mungu awape nguvu na busara katika hiki kipindi kigumu sana kwenu na sisi wote tuliomjua marehemu kwa karibu, poleni sana na tupo wote.

- Bwana ametoa na pia ametwaa, kazi ya Mungu haina makosa.

Respect.


FMEs!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…