Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,438
Mkuu nmependa hilo jina[emoji23][emoji23]Ngoja waje.
😂😂😂😂Mkuu nmependa hilo jina[emoji23][emoji23]
Ni sawa na kuingia chooni halafu ugome kukata gogo au kutoa ndogoInakuwaje unakutana mtu kwenye dating site/app unajaribu "kueleweka" (kutongoza) kwake.
Yeye anakuambia yuko pale kuongeaongea tu (wenyewe wanaita kuchat) na watu na sio kwa mambo ya kudate (kutongozana).
Wakuu hii kitu imekaaje?
Je ni kweli mtu anaweza kujisajiri kwenye dating site eti ili aongeeongee tu?
Au huu ni ujasiriamali mpya unaolenga kupandisha dau la mtongozwaji.
NB: Wengi wao huko ni single mothers.
Wengi ni masikini wa kifikra...na pia kuna vituko vingi humo, utakuta unasearch GIRLS NEARBY/ONLINE utashangaa kukuta majamaa wa kiume, lazima upate maswali mengi aisee.
Kiongozi, hao si wale wa fani yao? Sio kila mtu anataka hiyo mambo.Ingia exotic tz
[emoji23][emoji23]Niliwai ingia na mtoto mmoja hotelini ..eti anasema hawezi fanya mapenzi, mara sijui kwenye simu maongezi ilikuwa utani
Nika mwambia unagonoka au unaweka 50,000 yangu apa then ikichumba tuache wazi ..nakupa dakika 10 za kufikiri nikatoka na kufunga mlango ahaha nilikuwa mtu yuko kwenye kitaulo[emoji39]
Wanapenda igiza
[emoji23][emoji23]Ni sawa na kuingia chooni halafu ugome kukata gogo au kutoa ndogo
Hivi mapenzi ya hivyo hata raha itakuwepo? Na asingefanya ungemfanya nini?Niliwai ingia na mtoto mmoja hotelini ..eti anasema hawezi fanya mapenzi, mara sijui kwenye simu maongezi ilikuwa utani
Nika mwambia unagonoka au unaweka 50,000 yangu apa then ikichumba tuache wazi ..nakupa dakika 10 za kufikiri nikatoka na kufunga mlango ahaha nilikuwa mtu yuko kwenye kitaulo[emoji39]
Wanapenda igiza
Hapana waende badooUshamba tu, si waje Jf kama wanataka kuchat
Badoo nayo si dating site?Hapana waende badoo