Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 300
- 276
Habarii!!hivi hakuna chuo chengine cha bei nafuu kama Veta Ada 150,000 kwa week mbili??mdogo wangu anataka kusoma hii kozi ya Database??ameenda veta wamemwambia mpka wawe wawili Ndio atafundishwa?vinginevyo Adabo ili iwe 300000??Msaada kwa anaejua chuo chingine kinachotoa hii kozi kwa muda mfupi!??