Hapo unahitaji kustructure table yako upya, create new table, weka hizo columns za masomo yote, default hata zero, then tumia programming language yoyote, fanya query then update kila column.
from table 1 - chukua stid, courseid, marks;
weka loop ya kuchukua results zote zitakazokua zimerudi, then tuma update query
into table 2 - update column ya courseid mfano GEO kama current result yako ni geo, set marks ambapo stid ni sawa na current stid.
Done, mysql ina looping na vitu kama hivo ila complicated, i'd rather handle hii kwa kutumia programming language tu ambayo nimezoea.
Kama ni results nyingi sana kiasi kwamba you can't load all them in RAM, fanya in batch, query huku unaweka OFFSET.