Sasa ni wakati wa bunge wetu kutunga au kusadia Tanzania kuwa na DATA Protection Act
hii itasadia watu kutunza nyaraka za serikali na nyaraka za watu binafsi.
1. Wanasiasa kama Dr Slaa wataacha mchezo wao wa kuiba nyaraka za serikali
2. Magazeti ya Shigongo yataacha kuandika maisha ya watu binafsi bila ridhaa yao
3. Gazeti la uhuru na Habari leo litaacha kuandika mambo ya watu binafsi
4. Data Protection act itaongeza security kwenye social networks kama JF kuzuia watu kuleta kuiba nyaraka za serikali na kuleta hapa
My take
Bunge lijalo lijiandae kuja na Data Protection Act maana nchi nyingi zinatumia isipokuwa tanzania
EXAMPLE:Data Protection Act 1998
Umesha mtukana mwana JF tayari kwamba ni mwizi.Dr.Slaa.
Unaweza thibitisha hilo?
Aliiba wapi?
Kama aliiba wa kulaumiwa ni mwizi au ni yule asiye jua jinsi ya kulinda
nyaraka muhimu? (Ingawa sio muhimu maana ni nyaraka zinazo husu ufisadi)
Hizi nyaraka uwa anazitoa wapi?
We Dr umetupiwa Jini
Nakuunga mkono asilimia 100 mkuu...mnataka muibe bila watanzania kujua eeh...hovyoooo....wambie waliokutuma kuwa dk. Slaa haibi data ila anapelekewa na watumishi wa umma wadilifu wakiwemo mawaziri...kafie mbele huko na mafisadi wako akina magufuli...
Dr. Kupeng'e
We are waiting for the evidence of you are accusation, or ask mods to change you are topic headline.
Because basic of this thread means a personal attack against Dr. Slaa.
You only wrote this thread with nervousness, so what is hiding beyond, between you and Dr. Slaa.
Sasa ni wakati wa bunge wetu kutunga au kusadia Tanzania kuwa na DATA Protection Act
hii itasadia watu kutunza nyaraka za serikali na nyaraka za watu binafsi.
1. Wanasiasa kama Dr Slaa wataacha mchezo wao wa kuiba nyaraka za serikali
2. Magazeti ya Shigongo yataacha kuandika maisha ya watu binafsi bila ridhaa yao
3. Gazeti la uhuru na Habari leo litaacha kuandika mambo ya watu binafsi
4. Data Protection act itaongeza security kwenye social networks kama JF kuzuia watu kuleta kuiba nyaraka za serikali na kuleta hapa
My take
Bunge lijalo lijiandae kuja na Data Protection Act maana nchi nyingi zinatumia isipokuwa tanzania
EXAMPLE:Data Protection Act 1998