Darubini za Kupimia(Maabara)

stephot

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2012
Posts
17,883
Reaction score
27,512
Zile Darubini za kwenye maabara aina ya JAICO BINOCULARS MICROSCOPE-Dual Power (zinatumia umeme na Solar kama umeme ukikatika-equiped) zimewasili kwa anehitaji anitafute ,Bei ni Mil.1 ila maelewano yapo,Wahi kwani ziko chache.
 
mkuu kwa kiswahili sanifu hizo microscopes zinaitwa "hadubini",na sio darubini...
 
mkuu kwa kiswahili sanifu hizo microscopes zinaitwa "hadubini",na sio darubini...

Sawa mzee nimekusoma,ila hata kama ningekuwa najua inaitwa HADUBINI nisingelitumia kwani naona huo msamiati wengi hawapendelei kuutumia hivyo ingeniletea mkanganyiko kwenye biashara yangu,Thanks Snochet.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…