DART BRT Mwendo kasi “Failure before start project “

Sitafuti ligi, inajulikana kweli mradi una matatitizo lakini suluhu ni nini?

Matatizo yakijadiliwa na ushauri huwa inakua changamoto zinazotekelezeka zaidi ya malalamiko na lawama zisizo na suluhu
MABASI KWANZA HAYANA MUDA RASMI
UNAWEZA SUBIRIA BASI HATA MASAA MAWILI,

MABASI YANAJA SANA UKIWA NDANI WAKATI WA KUSHUKA INABIDI UTUMIE NGUVU HASWA
NA KUJAZA KULE NDANI NI MWENDO WA KUIBIANA NA KUBAMBIANA+MAGONJWA JUU
KUAMBUKIZANA

MADEREVA WAJEURI WAKATI MWINGINE HADI WANAWAPITISHA WATU VITUONI

UDART HAWANA HUDUMA NZURI KWA WATEJA

hayo machache tu ambayo yanamlenga msafiri wa kawaida anayetumia usafiri huo

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
MABASI KWANZA HAYANA MUDA RASMI
UNAWEZA SUBIRIA BASI HATA MASAA MAWILI,

MABASI YANAJA SANA UKIWA NDANI WAKATI WA KUSHUKA INABIDI UTUMIE NGUVU HASWA
NA KUJAZA KULE NDANI NI MWENDO WA KUIBIANA NA KUBAMBIANA+MAGONJWA JUU
KUAMBUKIZANA

MADEREVA WAJEURI WAKATI MWINGINE HADI WANAWAPITISHA WATU VITUONI

UDART HAWANA HUDUMA NZURI KWA WATEJA

hayo machache tu ambayo yanamlenga msafiri wa kawaida anayetumia usafiri huo

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kwa maelezo yako inawezekana pia idadi ya mabasi ni ndogo zaidi ya uhitaji
 
Kwa maelezo yako inawezekana pia idadi ya mabasi ni ndogo zaidi ya uhitaji
Magari yapo yamepakiwa tu in short viongozi nchi hii hawawezi jali sana kutatua shida maana wao kutwa wako kwenye v8 full ac na familia zao
Aliyeshiba hawezi jua hali ya mwenye njaaa
KWA KIFUPI HUU USAFIRI UMEKUWA WA OVYO
MPAKA KUWAFANYA WATUMIAJI WAONEKANA WATU WENYE SHIDA+WACHOVU

ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Magari yapo yamepakiwa tu in short viongozi nchi hii hawawezi jali sana kutatua shida maana wao kutwa wako kwenye v8 full ac na familia zao
Aliyeshiba hawezi jua hali ya mwenye njaaa
KWA KIFUPI HUU USAFIRI UMEKUWA WA OVYO
MPAKA KUWAFANYA WATUMIAJI WAONEKANA WATU WENYE SHIDA+WACHOVU

ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Viieiti zamani😂😂😂😂
 
MABASI KWANZA HAYANA MUDA RASMI
UNAWEZA SUBIRIA BASI HATA MASAA MAWILI,

MABASI YANAJA SANA UKIWA NDANI WAKATI WA KUSHUKA INABIDI UTUMIE NGUVU HASWA
NA KUJAZA KULE NDANI NI MWENDO WA KUIBIANA NA KUBAMBIANA+MAGONJWA JUU
KUAMBUKIZANA

MADEREVA WAJEURI WAKATI MWINGINE HADI WANAWAPITISHA WATU VITUONI

UDART HAWANA HUDUMA NZURI KWA WATEJA

hayo machache tu ambayo yanamlenga msafiri wa kawaida anayetumia usafiri huo

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app

Tumetumia pesa nyingi kujenga infrastructure kwa maana ya barabara Na vituo vya hovyo kabisa kwa Gharama kubwa . Mfano Phase 1 , tumetumia 24Billion Tzs kwa km 1 ya Barabara , Phase two tuta tumia 18.5 Billlion Tzs kwa km 1 ya Barabara wakati barabara za kawaida za kama ni kati ya 1-3 Billion Na hata zile barabara standard kabisa kama za BRT kwingine ni 3-7 billion .

Pamoja Na kuwapa watanzania mkopo wa hivyo kabisa bado Mradi haukujiandaa vyema kwenye vipengele vingine kama
1. Kupatikana kwa mabasi ya uhakika , Mengi Na yenye kuendana Na Hadhi ya BRT.. Tumeletewa mabasi chakavi, Hayana viti vya kutosha Na hata hayana Air condition / AC
2 Suala la ukataji wa Tickets Na hata bei ya tickets ni wizi mkubwa kwa Watanzania . zoezi zima limegubikwa Na wizi Na mianya ya wizi ..

3. Mpangilio wa mabasi Na hata ratiba ni wa hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom