Dark days 17/03/20

Kikubwa amani ya moyo mkuu wangu hayo mengine ya mfumuko wa bei tutapambana nayo,tulifikia hatua mbaya sana kama taifa ahsante Mungu wa mbinguni kutuokoa na joka jeusi linalomeza ukiwa mzimamzima
 
Kikubwa amani ya moyo mkuu wangu hayo mengine ya mfumuko wa bei tutapambana nayo,tulifikia hatua mbaya sana kama taifa ahsante Mungu wa mbinguni kutuokoa na joka jeusi linalomeza ukiwa mzimamzima
Halafu yanarekebishika, leo Waziri wa shekeli Mwigulu kasema watawasiliana na TRA watapunguza tozo bidhaa zirudi Bei yake.
je Mwendazake joka jeusi roho za wapendwa wetu atazirudisha? Najua huko aliowatanguliza wamesamehewa yeye mikono damu tupu ndio mafuta ya kumuunguza
 
Hii story ni nzuri inasomeka kama riwaya ila haina ukweli ina loop holes nyingi za unrealities.
1. Huwezi kupanga plot ya kuondoka wapangaji wa jumba jeupe wawili tena kwa muda mfupi usishtukiwe na huo mpango usiwe foiled ni risk mnoooo ambayo consequences zake ni unbearable. Hasa kwa mfumo wetu wa ulinzi wa viongozi.
2. Huu mpango ukisoma riwaya kwa makini umehusisha watu wengi sio rais ufanikiwe bila kujulikana.
3. Ukisoma between the line utaona mpangaji wa jumba jeupe aliyetoweshwa alikuwa poisoned baada ya kufungua paseli hii si kweli na haiwezekani (mzigo au barua yeyote kwenda kwa sponser hawezi kufungua yy kama mtu wa kwanza inamaana wanausalama wetu wamesahau ya edward mondlane?

Kiufupi hii story imetungwa na watu wanaotaka kupandikiza chuki kwenye siasa za ithanga letu kilichoandikwa hapa hakiwezekani kabisa. Trust me.
 
Hii ni riwaya jamani.

Nakusauri usome kupata utamu wa simulizi tu na sio kuweka hisia zako.

Afu uwe unasoma vizuri na uweke kumbukumbu kwenye riwaya parcel zilikuwa ngapi? Jibu ilikuwa moja?

Unasema watu waliyotumika ni wengi siri ingetoka? No ni watu wachache sana.

Unaongelea ulinzi? Ulinzi upi wewe unaouongelea wakati huo huo ulinzi ndo vitendea kazi vyenyewe?

Mimi hii naisoma kama zile poems za sekondari afu mwisho mwalimu anakuuliza jibu maswali yafuatayo:

Unaanza kutiririka hisia zako naona wewe ungepata 5/100.just maksi za kalamu.
 
Hapana kinawezekana.kumbuka chain ya tabasamu ni kubwa mno narudia ni kuuuuubwa ndani yake wapo wauza madawa.

Any ways tunaenda kwenye ukweli sema Nini dereva kaamua kitupitisha Kona nyingi na ndefu Sana.

All those who involved in this case will die the painfully death,trust me I swear.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeona mbali sana tena ver far ...hata kama hakuna ukwli wwte
nina iman tumepata concept japo kiduchu
kweny uzi huu...na kuijua gvt yetu na madhaifu yake...#ramadankareem
 
ni kweli kabisa revenge is a dish best served cold
 
Hv joka jeusi alikukula alikulia wp bana tuambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…