Dark days 17/03/20

umeambiwa story kama story ya chinua Achebe "things fall apart" unalazimisha iwe kweli unashida wewe
 
Kabla ya kunishambulia ungenifuatilia toka mwanzo, mchangiaji alikomaa kwamba hii ni true story and that JPM was assassinated!! Ndio debate ikaanzia hapo.

Then wivu wa nini? Mbona mada zangu Zina viewership kubwa tu.
 
Haya ni maoni binafsi ila JPM alikua analindwa sana sio tu kimwili ila kiroho pia. Nakumbuka aliwahi tupiwa "Bomu" ile tu kabla ya kuapishwa baada ya tambiko zito bahari ya Hindi huko. Ssa mtu kma yule unadhani nani angemsogelea??
Dah!...kumbe Mzee alikuwa na Vita vya ndani, kama ni hivyo mbona uongozi wa nchi zetu mgumu hivi ?

Tutafika kweli...


Jinsi alivyokuwa anapumzika mara kwa mara ilionyesha alikuwa mgonjwa ndio maana baadhi ya maeneo huko Kusini hakwenda kabisa.
 
Hii ni soga tu....ila inasisimua.

Mtoa mada ana kipaji cha utunzi, hongera kwake...huyu akijiendeleza anafaa hata kuwa mwandishi wa'script' za movie...
mie najua hii ni movie.kachanganya series ya the blacklist na the scandal .muandishi aka na kitu kipya NEW SERIES IN TOWN .

THE DARK DAYS 1703202..from producer yoga ONLY ON JF
 
Umafia ni zaidi ya mihemko.... Kitu ambacho ujui ni kwamba ili upate ubaya wa kumshughulikia mbaya wako dhihirisha ubaya wake kwa wengine ili wenye kuona waseme kweli ni mbaya ili baadaye kummaliza kwake kusemwe alikua na maadui wengi.
ukitumia mihemko no mission you will succeed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…