umeambiwa story kama story ya chinua Achebe "things fall apart" unalazimisha iwe kweli unashida weweJambo usilojua mpunguze ujuaji? Mtu unakomalia eti cycle ya New CEO ilimalizwa yote whilst Vifo vilikuepo all over the company kuanzia kitengo Cha Elimu mpaka kitengo Cha biashara!! Then Una isolate case ya senior officials wa company kwamba walikua targeted wao pekee?
Illogical reasoning
Huyu bwegeee la mabwege aisee......Naona Buyobe kule twitter amekopi na kupest bila kutoa credit afu akaishia kunilima block
View attachment 2175931
Cjachelewa, nmemripoti....watu wanaumiza mikono na akili zao waandike wapate vpato halali. Mwingine ananyonya tu na kufoward bila hata credits kwa muhusikaa
Kabla ya kunishambulia ungenifuatilia toka mwanzo, mchangiaji alikomaa kwamba hii ni true story and that JPM was assassinated!! Ndio debate ikaanzia hapo.Tunga hadithi yako, hujakatazwa kuanzisha uzi wako. Unabishaaaa kama vile umetajwa zitto junior na kuitwa kwenye hadithi hii tunayosoma jujiburudisha. Huko uliposema unaandika sijui nini, rudi huko wengine tunakusoma kwa mara ya kwanza kwenye huu uzi
Acha wivu, kubali hujui kuandika hadithi za kuvutia kama hii.
Hii ni soga tu....ila inasisimua.Inaendelea lini
Dah!...kumbe Mzee alikuwa na Vita vya ndani, kama ni hivyo mbona uongozi wa nchi zetu mgumu hivi ?Haya ni maoni binafsi ila JPM alikua analindwa sana sio tu kimwili ila kiroho pia. Nakumbuka aliwahi tupiwa "Bomu" ile tu kabla ya kuapishwa baada ya tambiko zito bahari ya Hindi huko. Ssa mtu kma yule unadhani nani angemsogelea??
Jinsi alivyokuwa anapumzika mara kwa mara ilionyesha alikuwa mgonjwa ndio maana baadhi ya maeneo huko Kusini hakwenda kabisa.Tokea kampeni wote mliona alivyokua amechoka sana. Mashine ilishaanza visa toka 2017 na Alisha collapse mara kadhaa kabla ya 2021 so naamini HAKUULIWA ila mtambo ulipata hitilafu kma tu mtambo wa mcheza soka Daley Blind ulivyopata hitilafu akiwa uwanjani!!
inaonekana una personal conflict na zitto junior . we ni mwanamke?Acha uongo.
Ngoja nami nianze kuisoma!Hii stori nzuri ukiisoma huku unaielewa.
Naendelea kusubiria mwendelezo.
Aah muraaaBaba yako pia alilazwa kwenye mitungi ya gesi pale mzena kipindi cha corona?
Kwani hii taarifa umeiona wap? Zaidi ya humuAcha kukopi uandishi wa watu, atleast ungemtaja author basi
Utamaliza kweliNgoja nami nianze kuisoma!
mie najua hii ni movie.kachanganya series ya the blacklist na the scandal .muandishi aka na kitu kipya NEW SERIES IN TOWN .Hii ni soga tu....ila inasisimua.
Mtoa mada ana kipaji cha utunzi, hongera kwake...huyu akijiendeleza anafaa hata kuwa mwandishi wa'script' za movie...
ULIKUA WAPI SIKU ZOTENgoja nami nianze kuisoma!
Very sad!! Enyway nikatika jitihada nitoe kichwa wapige na kiwili wili!! Sawa mungu ni mwema !!Naona Buyobe kule twitter amekopi na kupest bila kutoa credit afu akaishia kunilima block
View attachment 2175931
Umafia ni zaidi ya mihemko.... Kitu ambacho ujui ni kwamba ili upate ubaya wa kumshughulikia mbaya wako dhihirisha ubaya wake kwa wengine ili wenye kuona waseme kweli ni mbaya ili baadaye kummaliza kwake kusemwe alikua na maadui wengi.Chief Ni kwamba siyo kila tukio hili Ni la kweli zingine Ni kufikirisha Zaid how came old CEO na washirika wake kwenda kumpigia new CEO magoti aziwafukuze ktk chama badal yake wakaojiwa na kusalilishwa sna mpk mwingine alitembe mpk jumba jeupe kuomba tu msamaha
Ikiwa old CEO ndio mwenye kujuwa sarakas zote bas asingekubali washirika wake wazalilike Kia's kile wakt anweza kumalizana na neo CEO kimya kimya
Kule anawahamishia telegram anaenda kuwapoga pesaKimenifurahisha mhusika anadai ndio mimi!!
Yaani hii ni account yake!!
Aisee na anakula hela za watu kabisaa
lengo linajulikana.....Am not stupid!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app