Dark days 17/03/20

Ndo maana ndugu mwandishi akasema; 'Mambo ni mengi ila mda ni mchache'.
 
ila ni jamaa fighter sana shida kauli za kuudhi
Hajapata chizi fresh tu. Niblwasababu system yetu iko weak. Ila me simkubali wala nn. Huyu January simpendi ila namkubali he is smart. He is. Mimi hata uwe bilionea halaf akili sizioni achana na mm.
 
Hajapata chizi fresh tu. Niblwasababu system yetu iko weak. Ila me simkubali wala nn. Huyu January simpendi ila namkubali he is smart. He is. Mimi hata uwe bilionea halaf akili sizioni achana na mm.
Aisee marope simkubali heri ya mwigulu mara elfu marope anaweza kutuuza direct, pia ana tuhuma nyingi za maadili ya Sodom Sasa sijui ni kweli au kumchafua tu
 
Angalau hata za mariedo basi. Si ndio? Asigawe bodaboda tu wakati hapendezi. Mawigi havai wala kushonea. Wala hasuki. Basi apendeze na viwalo walau daraja la kati jamani.
dada yetu kajichoka sana jamani hata ka lipstick Kwa mbali huwa hapaki ujue yeye ni kiongozi wa muhili mkubwa mjengoni ajifunze hata Kwa Jojo bana, maana Kuna siku Huwa anavaa t-shirt na tight eti mashindano woooi
 
dada yetu kajichoka sana jamani hata ka lipstick Kwa mbali huwa hapaki ujue yeye ni kiongozi wa muhili mkubwa mjengoni ajifunze hata Kwa Jojo bana, maana Kuna siku Huwa anavaa t-shirt na tight eti mashindano woooi
hata mama gwajima anamshinda bana. Chombo mama makinda bana. Anajipenda hata kama age imeenda. Anunue hata shushi by Nandy basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…