Bora useme weeMm nilipata ajira wakati wa mkapa, nikaaacha ili niende kusoma . Nikaja nikapata tena wakati wa JK 2011, nikaendelea nayo nikaacha 2016. 2017 wakati wa Magufuli nikapata tena na ndio nipo nayo hadi sasa japo naweza pia kuja kuiacha.
Kwa tafsiri yako maraisi hao wote watatu ni wazuri kwa kuwa Mimi nilipata ajira miaka yao wakiwa madarakani?
Magufuli alikua na madhaifu mengi sana ya kiuongozi Ila kusema pia JK naye sikuona huo uungwana, nilichoona yeye alikua mfanyabiashara hivyo alikua akienda sawa na partners wenzake kwa kuwa alikua na cha kupoteza.
Mchunga ng'ombe yeye hakuna na cha kupoteza ndio maana alikuwa vile wa kuharibu haribu tu
Pk Kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa je,n bora born town aende au pk?me nawaza aende pk kwanza alaf huyu born town ataenda hata kwa kulogwa[emoji1787][emoji1787]
Nafuu umeligundua hili jinga.Wewe tunakujua humu ni MATAGA pro max.
Usitake kujifnya unaota ili uuchafue Upinzani na kuharalisha LISSU kupigwa risasi.
Waaminishe wajinga ila tunajua wewe ni MATAGA pro max.
Tuvute subira yamkini huko mbele tutapata jibu!Uko kama mimi natamani kweli kweli kujua.
Unaonekana unapambana kujenga hoja za uzalendo ebu type definition ya uzalendo maana unawachukia wanaoisema vibaya serikali na nchiNi kweli miili yao tu ni silaha tosha.
Huko kwa majirani kuna komandoo eti ametishiwa na jambazi panga akatoka ndukiii hadi kambini kwao kuomba msaada, walivyokuja hawakukuta mtu, sasa jambazi akusubirie tu.
Yaani panga jamaa kakimbia, angekuwa na bunduki je? Ila wanavyoisifu nchi yao, jeshi Lao utadhani ni level nyingine.
Nilichojifunza ni uzalendo wa nchi yao. Watanzania tuamke hakuna atakatekuja kuisafisha na kuipamba nchi yetu kama siyo sisi wenyewe.
Hakuna nchi hapa duniani isiyokuwa na madhaifu lakini hayasemwi hadharani.
Upinzani na nyinyi mtusaidie kuwaeleza watu wenu kuongea kitu cha kweli,mlipinga sana vitu vya kweli hadharani huku vyumbani mwenu mnaishia kusema ni kweli lakini serikali imefanya.
Hii ni nchi yetu sote, leo upo upinzani lakini kesho upo chama tawala, sasa yale uliyokuwa ukiyapinga utaanzaje tena kuyahubiri?
Utawala uliopo unaweza kuisha, vyama vikaisha na vikaja vipya, wapinzani wakaisha na kuja wengine. Lakini Tanzania itaendelea kuishi vizazi hadi vizazi.
Taifa ili liishi daima ni kujenga uzalendo wa kweli kwa vizazi vichanga ili vikue kati hali ya kuthamini utu na vitu vya nchi yao..."mfundishe mtoto njia impasayo kwa maana akikua hataiacha.."( nukuu kutoka kwenye Biblia).
Hujanielewa bila shaka.U
Unaonekana unapambana kujenga hoja za uzalendo ebu type definition ya uzalendo maana unawachukia wanaoisema vibaya serikali na nchi
Ufisadi uliotamalaki nchini ww kama mzalendo unauongeleaje? Tunaosema mambo hayako poa unatuona sisi si wazalendoUmeongea kitu kikubwa sana.
Na nilisema watu wa Kanda ya ziwa na Kigoma wasimulie matukio ya namna hii maana wao wanajua madhara ya vita, uhalifu wa kivita, ujambazi, wizi,watu wenye roho mbaya wanawajua vizuri sana, ulafi wa madaraka, chuki za kikabila wanazijua kupitia kwa majirani zao.
Jeshi la Polisi linafanya kazi nzuri sana,mimi mwenyewe nimewahi kusaidiwa na polisi kutoka kwenye mikono ya majambazi yenye silaha za kivita, zile silaha nimewahi kuziona kwenye filamu tu,lakini siku hiyo niliona live.
Kwa weledi wa askari wetu ambaye alikuwa escort wetu hawakuweza kulifikia gari japo walitupiga na kusababisha vifo na majeruhi ila mizigo yetu na pesa ilibaki salama, walikuwa mtu kama 10 na silaha nzito, askari wetu alikomaa nao mpaka wakakimbia.
Kwahiyo watu wachache wanaoharibu sifa za jeshi letu waondolewe na kubakisha wale wanaostahili tu.Kongole pia kwao.
Utasikia watu wanasema tutakinukisha iwe isiwe, ngoja lipigwe bomu la machozi tu,watu hoi, machozi,makamasi kama yote, wengine wanasema tulizimia kabisa, sasa shida yote hii ya nini?
Sasa kwenye hizo Kanda kusikia milio ya mabomu, risasi, moshi wa baruti, maganda ya risasi ilikuwa ni kitu cha kawaida, watu wa kule huwa hawashadadii vita wanajua madhara yake.
Kuna kipindi ikifika saa 12 jioni watu mnaingia ndani mji wote kimya maana hamjui watakuja saa ngapi, hivi mnajua walikuwa wana ujasiri wa kuja mpaka karibu na vituo vya Polisi?
Ila sasa operation ilivyoanza mbona waliimba nyimbo zote? Ukiona mtu anataka vita muangalie mara mbili mbili, labda anajua pa kukimbilia ila sisi wengine ambao hatujazoea shuruba za kutumikishwa au utumwa kwenye nchi za watu hatuwezi kuunga mkono.
Watanzania baadhi wanajidangany kwamba likitokea la kutokea tutaomba hifadhi kwa majirani, sahau hiki kitu,hatupendwi, tunaonewa wivu,huko tutanyanyasika sana.
Bora niongozwe na Rais anayeonekana ni dhaifu machoni pa watu anayenijua udhaifu wangu,mila zangu,utamaduni wangu,miiko yangu, kuliko kutawaliwa na mgeni asiyenijua atanirudisha utumwani.
Umejibu vema sana je tz kuitwa nchi maskini 60 years baada ya uhuru na rasimimali zote hizi you fill good? Unajua kwanini mpaka watu wanaichukia hata nchi yao wenyewe? Ulishafanya utafiti huo? Ukinijibu maswali hayaHujanielewa bila shaka.
Definition ya Uzalendo kwa mtazamo wangu, ni ile hali ya kujitoa kwa hali na mali kwa moyo wako wote kutetea na kuilinda nchi yako iwe ni kwa kulipwa au kutokulipwa lakini kwa ajili ya maslahi ya wengi.
Mbona magaidi waliingia na kuishi hapa mkuu kama tuko vzr hivyo kaa maelezo yakoKila KAMPUNI duniani lazima iwe na watu wao kuleta taarifa, KAZI Yao ni taarifa tu, taarifa hizo ni kusaidia wakati wa vita nk.
Nchi hii Iko mbali zaidi ya hapo, inahusika Hadi kuweka ma CEO ktk KAMPUNI nyingi tu Afrika.
Huyo paka ni Mwizi tu, pale Kwa m7 na cngo wanaenda kuiba Kwa kupata msaada wa KAMPUNI za nje na kugawana nao na kubadilishana technology.
Matendo wafanyayo yanajulikana na hayajavuka limits za kiusalama kuwa threat Kwa KAMPUNI yetu.
Hujawahi kujiuliza kwann KAMPUNI yetu inaweka CEO KAMPUNI ingine na haijihusishi kuiba raslimali za huko kama PAKA afanyavyo na kuleta hapa kutatua matatizo ya umaskini wa watu wa kwetu?
Nchi hii ni Police wa Africa nzima kuhakikisha amani inatawala. Kuna muda huyo PAKA alivuka limits pale cngo, anapewa silaha nzito bt alipigwa kama mtoto wanaume waliingia Hadi chumbani kwake na akapewa onyo.
Paka ni mtoto mdogo sana kwetu tukiamua hata kesho tunaweka mtu wetu, Afrika nzima Kwa masuala ya ulinzi na USALAMA yanaanzia na kuthibitishwa hapa.
Nchi hii tuna UPENDO Kwa wengine hatuna TAMAA na ndio chanzo Cha AMANI uionayo. Niamini Nchi hii ni zaidi ya uijuavyo. Mungu wa Mbinguni anapaangalia hapa ndomana viongozi wafanyapo mabaya tunasema tu na mabadiliko yanafanyika Si kama pengine Hadi maandamano na kumwaga Damu.
Swali la kwanza sijisikii vizuri kabisa. Naumia sana.Umejibu vema sana je tz kuitwa nchi maskini 60 years baada ya uhuru na rasimimali zote hizi you fill good? Unajua kwanini mpaka watu wanaichukia hata nchi yao wenyewe? Ulishafanya utafiti huo? Ukinijibu maswali haya
Woi bdo npo nyumaNiliyekuwa namuongelea mimi maana wamepit wengi kule ni tonsess. Umemjua?
Asante tupo pamojaPk Kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona haya yote nimeshayaongelea labda kwa mtazamo wako hukunielewa, nimeshasema sana hata kama siyo hapa kwamba watu wameacha misingi ya mwanzo wanawaza pesa,rushwa, wizi,nikashauri waache wawe na utu na kuwaonea huruma wananchi.Ufisadi uliotamalaki nchini ww kama mzalendo unauongeleaje? Tunaosema mambo hayako poa unatuona sisi si wazalendo
Wewe Musiba au Amoss Makalla.[emoji6] usjali from wend! Tutatia jambo zuri hapa mpendwa!!! Ingawa natuhumiwa sio mimi eti[emoji16][emoji23]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
We naye bana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],ngoja nione kama watakuja wengine kukwambia [emoji846][emoji846]Woi bdo npo nyuma
Sasa je,n bora born town aende au pk?me nawaza aende pk kwanza alaf huyu born town ataenda hata kwa kulogwa[emoji1787][emoji1787]
Would you love to suck them? Ooh sorry it's said you're a man.[emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91] he is a man with balls
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Source ya ulichoandika??!Ww kamama sikia,hapa nazungumzia baada ya CAT kutamka maneno hayo na vitisho vingi . Kama unavyojua mr born town kalelewa jeshini na si hivyo tu pia alikua kua ni luten kanali wajeshi na kipindi kile alikua anapendwa na bakabaka hatari mpaka sasa mana aliwaboreshia maslahi mengi sana , ndipo iliandaliwa operation maalum mmoja wa makomando kutoka 92 Kj alikwenda mpaka viungani mwa CAT tena ndani Kbsa unajua nn kiliendelea baada ya hapo [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu niliwashuhudia hao marasta enzi hizo niko kibondo kwakweli walituliza mji,Jeshi la polisi wanilidharau lakini kuna wengine tunajua mziki wao, kuna kipindi mauji na uharifu wakutumia silaha ulikithiri kigoma kilichotokea ni historia. Walikuja marastaman kujifanya wachoraji, wengine wasanii Dah! warundi walikaangwaa kwelikweli. Kuna sniper aliwatwanga za kichwa majambazi kama saba wote walimwagwa hospital vichwa vimetobolewa. Tuache siasa ukijua kulaumu basi jua na kushukuru, viva maafande wetu mnafanya kazi nzuri