Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,018
- 20,489
Dara lipo kitabuni rasmi....
Tunasubiri kwa hamu zote somo hilo...
Ahsante..
Hoja ya wale wazee walioasisi muungano ilikuwa kuweka muundo ambao Wazanzibar hawatamezwa wala Tanganyika hawatabebeshwa mazigo kwa vile waliona
- Serikali moja Zanzibar watamezwa
- Serikali tatu Tanganyika watabebeshwa mzigo
Hivyo serikali mbili ndiyo suluhisho. Kila anayesimama ikiwa pamoja na Maria Sarungi,Tundu Lissu wanaleta porojo tu wameshindwa kuifunja hoja hii, achilia mbali hoja ya gharama ya ukubwa wa gharama ya kuendesha serikali tatu.
Hoja ya wale wazee walioasisi muungano ilikuwa kuweka muundo ambao Wazanzibar hawatamezwa wala Tanganyika hawatabebeshwa mazigo kwa vile waliona
- Serikali moja Zanzibar watamezwa
- Serikali tatu Tanganyika watabebeshwa mzigo
Hivyo serikali mbili ndiyo suluhisho. Kila anayesimama ikiwa pamoja na Maria Sarungi,Tundu Lissu wanaleta porojo tu wameshindwa kuifunja hoja hii, achilia mbali hoja ya gharama ya ukubwa wa gharama ya kuendesha serikali tatu.
- CUF hawana maslahi na muungano (kura za muungano) wanadhani itakuwa rahisi kushinda Zanzibar ikiwa pekee.Hili nisehemu ya somo letu?
- CUF hawana maslahi na muungano (kura za muungano) wanadhani itakuwa rahisi kushinda Zanzibar ikiwa pekee.
- Chadema hawana maslahi na muungano(kura za muungano) wanadhani itakuwa rahisi
kushinda Tanganyika ikiwa pekee.
- Hivyo lengo ni kuua muungano na kushinda uchaguzi hayo mengine wanazunguka tu.
Hili nisehemu ya somo letu?
Muezeshaji naomba kujua mahusiano ya siasa na propaganda.
Mwalimu,umesomea chuo cha ndani au nje ya nchi?
Asilimia 98 ya elimu yangu nimeipata ughaibuni.
Inafaa ufungwe jiwe shingano ukatoswe baharini.