Darasa la IV, Kidato cha II kula ubwete

Vegetarian

JF-Expert Member
Apr 7, 2012
654
509
Taarifa imesambazwa kwenye Halmashauri zote, Kwa Waratibu Elimu kata, Wakuu wa Shule za Sekondari na Walimu wakuu wa Shule za Msingi ikiwataarifu kuwa hakutakuwa tena na mchujo wa mtihani wa kati (Darasa la IV na Kidato cha Pili). Hii ina maana kuwa nwanafunzi akianza Darasa la kwanza anatakiwa asome hadi Kidato cha Nne bila kufanya mtihani wowote wa mchujo.
Mtazamo wangu:
Hatua hii itazidi kushusha ubora wa Elimu badala ya kuuboresha, kuondoa mchujo badala ya kuboresha utoaji wa Elimu ni sawa na kutanua goli ili kurahisisha wafungaji butu kufunga magoli.
 
........ hakutakuwa tena na mchujo wa mtihani wa kati (Darasa la IV na Kidato cha Pili).
hapa inaonesha hakutakuwa na mtihani wa std IV na form II
Hii ina maana kuwa nwanafunzi akianza Darasa la kwanza anatakiwa asome hadi Kidato cha Nne bila kufanya mtihani wowote wa mchujo.
Lakini mkuu pale mwanzo kwa mujibu wa maekezo yako inaonesha kutakuwa na mtihani wa std VII

[/QUOTE]
 
Yeah, mtihani wa Darasa la VII utakuwapo, lakini Serikali inaangalia utaratibu utakaoufanya uratibiwe na shule.
 
Majanga, majanga, majanga.
Kama habari ni za kweli, tujiandae watoto kufeli zaidi mitihani ya la 7 na form 4 kwa sababu watabweteka na kuisubiri mitihani yao ya mwisho ya kumalizia elimu yao.

Wanafunzi wakifanya mitihani ya kidato cha pili hubweteka wakifika kidato cha 3. Wanakuja shitukia wako fomu 4 na mitihani ni mwezi ujao. wengi wao huchanganyikiwa na hufanya vibaya.
Serikali itakuwa inakwepa gharama za mitihani kwa sababu wazazi hawachangii.
 
Taarifa imesambazwa kwenye Halmashauri zote, Kwa Waratibu Elimu kata, Wakuu wa Shule za Sekondari na Walimu wakuu wa Shule za Msingi ikiwataarifu kuwa hakutakuwa tena na mchujo wa mtihani wa kati (Darasa la IV na Kidato cha Pili). Hii ina maana kuwa nwanafunzi akianza Darasa la kwanza anatakiwa asome hadi Kidato cha Nne bila kufanya mtihani wowote wa mchujo.
Mtazamo wangu:
Hatua hii itazidi kushusha ubora wa Elimu badala ya kuuboresha, kuondoa mchujo badala ya kuboresha utoaji wa Elimu ni sawa na kutanua goli ili kurahisisha wafungaji butu kufunga magoli.
Tupia chanzo,kupunguza upotezaji muda wa kuchangia
 
Taarifa imesambazwa kwenye Halmashauri zote, Kwa Waratibu Elimu kata, Wakuu wa Shule za Sekondari na Walimu wakuu wa Shule za Msingi ikiwataarifu kuwa hakutakuwa tena na mchujo wa mtihani wa kati (Darasa la IV na Kidato cha Pili). Hii ina maana kuwa nwanafunzi akianza Darasa la kwanza anatakiwa asome hadi Kidato cha Nne bila kufanya mtihani wowote wa mchujo.
Mtazamo wangu:
Hatua hii itazidi kushusha ubora wa Elimu badala ya kuuboresha, kuondoa mchujo badala ya kuboresha utoaji wa Elimu ni sawa na kutanua goli ili kurahisisha wafungaji butu kufunga magoli.
It means wameogopa gharama za uendesheshaji kwani mbaka kuna mikoa mingi mitihani ya mock imesitoshwa
 
Taarifa imesambazwa kwenye Halmashauri zote, Kwa Waratibu Elimu kata, Wakuu wa Shule za Sekondari na Walimu wakuu wa Shule za Msingi ikiwataarifu kuwa hakutakuwa tena na mchujo wa mtihani wa kati (Darasa la IV na Kidato cha Pili). Hii ina maana kuwa nwanafunzi akianza Darasa la kwanza anatakiwa asome hadi Kidato cha Nne bila kufanya mtihani wowote wa mchujo.
Mtazamo wangu:
Hatua hii itazidi kushusha ubora wa Elimu badala ya kuuboresha, kuondoa mchujo badala ya kuboresha utoaji wa Elimu ni sawa na kutanua goli ili kurahisisha wafungaji butu kufunga magoli.
Mtihani wanafanya ila haukurudishi darasa. Alofeli na alofahulu anaenda tuu.
Ndivyo ilivyo mwa darasa la 4
 
kWANI LENGO LA MITIHANI NI KUCHUJA? LENGO NI KUWAFANYA WATOTO WAZINGATIE MASOMA NA PIA KUTATHIMINI MWITIKIO WA WATOTO BAADA YA KUWAFUNDISHA ILI WALE WAZITO WAPEWE REMEDIAL CLASSES.
 
Back
Top Bottom