Darasa huru kwa wapinzani: Somo la kwanza

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,137
17,908
Kama mtanzania mzalendo na mpenda demokrasia, mpendezwa wa siasa safi, upinzani imara na taifa lenye umoja, nimejitolea kutoa darasa hili la kisiasa kwa wapinzani wote nchini Tanzania. Darasa hili haliathiri kwa namna yoyote uanachama wangu wa CCM.

Darasa hili linalenga kuimarisha demokrasia na upinzani nchini mwetu ili tuweze kuchagua viongozi bora zaidi. Nitakuwa naeleza vitu hivi kwa kifupi sana na wapinzani watapaswa kujiongeza ili kuelewa nikisemacho.

HATUA YA KWANZA: Kubadili fikra za watanzania. Tangu kupata uhuru na kuanzishwa kwa CCM, watanzania wamejengwa katika fikra. Fikra ni kuamini bila kutetereka kiurahisi. Fikra hubadilishwa lakini taratibu na kwa umakini mkubwa. Huitajika ushawishi wa kutosha katika hilo.

Moja ya nguzo za CCM ni kuweza kujenga fikra kwa watanzania walio wengi kuwa WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KUMI ni viongozi muhimu wa wananchi na hawaepukiki. Wajumbe hawa, mwanzoni, walikuwa ni viongozi wa kichama na kiserikali.

Baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa hapa Tanzania, Wajumbe hao walibaki kuwa ni viongozi wa kichama tu-viongozi wa wanaCCM. Hawa hawana mamlaka juu ya wasio wanachama wa CCM na hata wapinzani. Lakini, FIKRA iko tofauti. Wanaonwa ni wa kiserikali.

Kukubalika na kutumika kwa Wajumbe hawa wa nyumba kumi kumi (Wajumbe wa Shina) ni kukubalika kwa CCM. Wajumbe hawa 'huwamiliki' wananachi wao. Huwaambia cha kusema na kufanya. Hata uchaguzini, wananchi huchagua wanachochagua Wajumbe wao.

Wapinzani wanapaswa kuondoa FIKRA hii ya wananchi kuwaona Wajumbe wa Nyumba Kumi kuwa ni viongozi wa kiserikali. Hapo panahitajika ushawishi na elimu ya kutosha na kutisha. Si jambo dogo. Pakitikiswa hapo, CCM inatikiswa.

Nitaendelea.....

Mwafaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Nakala: Tetty
 
Isipokuwa leo nilikuwa napita pale Gerezani Kariakoo kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi nikakuta mjadala mzito sana wa Wanaukawa. Kwa kuchunguza niliona kuwa wengi wao walikuwa Chadema na CUF. Walikuwa wanasema kuwa kama viongozi wa UKAWA hawaweki madai ya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi itakayoleta tume huru na matokeo ya kura ya uraisi kuhojiwa mahakani, wao itabidi warudishe kadi za vyama hivyo ama wazifanyie mangekimambilization yaani kuzichaoma hadharani. Walikuwa wamepandwa na jazba sana!!!
 
Nchi ngumu sana hii. Yale makabrasha ya warioba yalisema nini hadi muanze haya madarasa yenu?
 
Uko ni mbali sana mkuu hutoeleweka. Njia rahisi ni kumtosa Mbowe na mfadhili wake EL alafu kumrudisha Dr. Slaa ndani ya nyumba.
 
Kama mtanzania mzalendo na mpenda demokrasia, mpendezwa wa siasa safi, upinzani imara na taifa lenye umoja, nimejitolea kutoa darasa hili la kisiasa kwa wapinzani wote nchini Tanzania. Darasa hili haliathiri kwa namna yoyote uanachama wangu wa CCM.

Darasa hili linalenga kuimarisha demokrasia na upinzani nchini mwetu ili tuweze kuchagua viongozi bora zaidi. Nitakuwa naeleza vitu hivi kwa kifupi sana na wapinzani watapaswa kujiongeza ili kuelewa nikisemacho.

HATUA YA KWANZA: Kubadili fikra za watanzania. Tangu kupata uhuru na kuanzishwa kwa CCM, watanzania wamejengwa katika fikra. Fikra ni kuamini bila kutetereka kiurahisi. Fikra hubadilishwa lakini taratibu na kwa umakini mkubwa. Huitajika ushawishi wa kutosha katika hilo.

Moja ya nguzo za CCM ni kuweza kujenga fikra kwa watanzania walio wengi kuwa WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KUMI ni viongozi muhimu wa wananchi na hawaepukiki. Wajumbe hawa, mwanzoni, walikuwa ni viongozi wa kichama na kiserikali.

Baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa hapa Tanzania, Wajumbe hao walibaki kuwa ni viongozi wa kichama tu-viongozi wa wanaCCM. Hawa hawana mamlaka juu ya wasio wanachama wa CCM na hata wapinzani. Lakini, FIKRA iko tofauti. Wanaonwa ni wa kiserikali.

Kukubalika na kutumika kwa Wajumbe hawa wa nyumba kumi kumi (Wajumbe wa Shina) ni kukubalika kwa CCM. Wajumbe hawa 'huwamiliki' wananachi wao. Huwaambia cha kusema na kufanya. Hata uchaguzini, wananchi huchagua wanachochagua Wajumbe wao.

Wapinzani wanapaswa kuondoa FIKRA hii ya wananchi kuwaona Wajumbe wa Nyumba Kumi kuwa ni viongozi wa kiserikali. Hapo panahitajika ushawishi na elimu ya kutosha na kutisha. Si jambo dogo. Pakitikiswa hapo, CCM inatikiswa.

Nitaendelea.....

Mwafaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Nakala: Tetty

Nawe umenena yaliyo ya kweli tupu! Nimetoka kulisema jambo hili Kwa rafiki yangu.Kwamba wanaosaidia kushinda Kwa CCM maeneo mengi Ni hao Mabalozi hususani Vjijini.Hao watu sana nguvu sana. Mwaka 2014,niliwahi kuwekwa ndani Kituo cha Polisi Kwa kile kilichoitwa kufanya fujo katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa moja huko TEMEKE. Nilienda kule kuomba barua ya utambulisho wa Makazi.Nikaambiwa nionyeshe barua ya Mjumbe wa nyumba kumi(Balozi) ninakoishi.Nikawaambia huyo Balozi si sehemu ya hiarakia(hierarchy) ya serikali Bali huyo ni kiongozi wa kichama Na Mimi sikuwa hapo Kwa shughuli za kichama.Jambo hilo liliwaudhi pale ofisini kukatokea "exchange" ya maneno Na hatimaye nikaitiwa Mgambo na kupelekwa Polisi.Niliwaeleza Polisi kile walichotaka Serikali za mitaa Kwamba ni kinyume Na utaratibu.Kwa hiyo CCM bado inawatumia watu hao maeneo mengi.Upinzani wanalielewa hili Na nadhani sasa watoke Na mkakati wa kusia mbegu ya uelewa.
 
NI PALE TUNASHNDWA KUJUA KUKU NA YAI NANI KAMZAA MWENZAKE.TUKIJUA NI RAHISI KUJUA MWELEKEO WA MABADILIKO HATA KAMA UMEANZA KUONA DUNIA.SJAWAHI KUONA KITU KISOCHO NA MABADILIKO .IPO SIKU.
 
Kama mtanzania mzalendo na mpenda demokrasia, mpendezwa wa siasa safi, upinzani imara na taifa lenye umoja, nimejitolea kutoa darasa hili la kisiasa kwa wapinzani wote nchini Tanzania. Darasa hili haliathiri kwa namna yoyote uanachama wangu wa CCM.

Darasa hili linalenga kuimarisha demokrasia na upinzani nchini mwetu ili tuweze kuchagua viongozi bora zaidi. Nitakuwa naeleza vitu hivi kwa kifupi sana na wapinzani watapaswa kujiongeza ili kuelewa nikisemacho.

HATUA YA KWANZA: Kubadili fikra za watanzania. Tangu kupata uhuru na kuanzishwa kwa CCM, watanzania wamejengwa katika fikra. Fikra ni kuamini bila kutetereka kiurahisi. Fikra hubadilishwa lakini taratibu na kwa umakini mkubwa. Huitajika ushawishi wa kutosha katika hilo.

Moja ya nguzo za CCM ni kuweza kujenga fikra kwa watanzania walio wengi kuwa WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KUMI ni viongozi muhimu wa wananchi na hawaepukiki. Wajumbe hawa, mwanzoni, walikuwa ni viongozi wa kichama na kiserikali.

Baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa hapa Tanzania, Wajumbe hao walibaki kuwa ni viongozi wa kichama tu-viongozi wa wanaCCM. Hawa hawana mamlaka juu ya wasio wanachama wa CCM na hata wapinzani. Lakini, FIKRA iko tofauti. Wanaonwa ni wa kiserikali.

Kukubalika na kutumika kwa Wajumbe hawa wa nyumba kumi kumi (Wajumbe wa Shina) ni kukubalika kwa CCM. Wajumbe hawa 'huwamiliki' wananachi wao. Huwaambia cha kusema na kufanya. Hata uchaguzini, wananchi huchagua wanachochagua Wajumbe wao.

Wapinzani wanapaswa kuondoa FIKRA hii ya wananchi kuwaona Wajumbe wa Nyumba Kumi kuwa ni viongozi wa kiserikali. Hapo panahitajika ushawishi na elimu ya kutosha na kutisha. Si jambo dogo. Pakitikiswa hapo, CCM inatikiswa.

Nitaendelea.....

Mwafaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Nakala: Tetty
Tupatupa hao wapinzani ni wa nchi gani?Kama wamenyooshwa CUF zanzibar na leo hii Pemba yote wawakilishi ni CCM ,itakuwa hawa watafuna Ruzuku wa Tanganyika?Leo hii serikali ikisema inafuta ruzuku hakuna mtu atabaki huko upinzani, hata Antipas na Godbless watasepa
 
Kama mtanzania mzalendo na mpenda demokrasia, mpendezwa wa siasa safi, upinzani imara na taifa lenye umoja, nimejitolea kutoa darasa hili la kisiasa kwa wapinzani wote nchini Tanzania. Darasa hili haliathiri kwa namna yoyote uanachama wangu wa CCM.

Darasa hili linalenga kuimarisha demokrasia na upinzani nchini mwetu ili tuweze kuchagua viongozi bora zaidi. Nitakuwa naeleza vitu hivi kwa kifupi sana na wapinzani watapaswa kujiongeza ili kuelewa nikisemacho.

HATUA YA KWANZA: Kubadili fikra za watanzania. Tangu kupata uhuru na kuanzishwa kwa CCM, watanzania wamejengwa katika fikra. Fikra ni kuamini bila kutetereka kiurahisi. Fikra hubadilishwa lakini taratibu na kwa umakini mkubwa. Huitajika ushawishi wa kutosha katika hilo.

Moja ya nguzo za CCM ni kuweza kujenga fikra kwa watanzania walio wengi kuwa WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KUMI ni viongozi muhimu wa wananchi na hawaepukiki. Wajumbe hawa, mwanzoni, walikuwa ni viongozi wa kichama na kiserikali.

Baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa hapa Tanzania, Wajumbe hao walibaki kuwa ni viongozi wa kichama tu-viongozi wa wanaCCM. Hawa hawana mamlaka juu ya wasio wanachama wa CCM na hata wapinzani. Lakini, FIKRA iko tofauti. Wanaonwa ni wa kiserikali.

Kukubalika na kutumika kwa Wajumbe hawa wa nyumba kumi kumi (Wajumbe wa Shina) ni kukubalika kwa CCM. Wajumbe hawa 'huwamiliki' wananachi wao. Huwaambia cha kusema na kufanya. Hata uchaguzini, wananchi huchagua wanachochagua Wajumbe wao.

Wapinzani wanapaswa kuondoa FIKRA hii ya wananchi kuwaona Wajumbe wa Nyumba Kumi kuwa ni viongozi wa kiserikali. Hapo panahitajika ushawishi na elimu ya kutosha na kutisha. Si jambo dogo. Pakitikiswa hapo, CCM inatikiswa.

Nitaendelea.....

Mwafaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Nakala: Tetty

Uncle hili linatekelezwa kwa sasa,tatizo kubwa lililopo ni Polisi kuwakamata wale wanaowapa elimu watanzania vijijini.Ila tunalifanyia kazi kwa sasa
 
Back
Top Bottom