Hongera sana, nikiwa na 28 nilipata transfer ya kikazi na mwenza wangu alikua mbali alipata mtu mwingine...KIjana mimi nimeoa, kijana wangu ana miaka 21; mimi umri wangu ni miaka 45; tumia calculator utajua hapo!
Dah; hilo ni jambo jingine ambalo hupaswi kulaumiwa; nawachukia wanaopoteza muda eti kuponda raha na kuchelewa kuanza majukumu mapema; ila kwa hilo inabidi nikupe pole na nikutie moyo usaau hayo yaliyopita.Hongera sana, nikiwa na 28 nilipata transfer ya kikazi na mwenza wangu alikua mbali alipata mtu mwingine...
Hivyo mpk akili kutulia ilinichukua mda kidogo...
Yote tisa, mungu ndo mpangaji wa yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran mkuuDah; hilo ni jambo jingine ambalo hupaswi kulaumiwa; nawachukia wanaopoteza muda eti kuponda raha na kuchelewa kuanza majukumu mapema; ila kwa hilo inabidi nikupe pole na nikutie moyo usaau hayo yaliyopita.
acha kutisha watu....wakimbilie kuoa ili wagundue nini?30 hujaoa? Kwisha habari yako!
mmmh...hiyo kali kwani kuoa ni lazima,?... Mbona Anna Makinda hajawahi kuolewa kabisa...Ruge hajaoa mpaka leo30 hujaoa? Kwisha habari yako!
Mbona haya mambo ya kuoa waafrika tumeyashikia njuga sana???Kwakwel kuoa ni hiyari na utayari wa mtu.Nafikiri hakuna anayenipangia nioe kwa kigezo cha umri ama kipato cha kukizi mahitaji.30 hujaoa? Kwisha habari yako!