Daraja la Kigamboni

We ni jipu tena ilibidi uwe mirembe saivi au laa kigamboni unaisikia tu hujawahi kuvuka kwenda kigamboni ni bora ungepita kimya ukaficha uchizi wako kuliko pumba ulizotapika hapo mbaya zaidi ukasema bora flyover ya tazara kuliko daraja la kigamboni we ni mfu.
 
mkuu sio yeye ni matokeo ya kiroba orijino
 
Nilifurahi sana mkuu wa mkoa wenu alivyopiga marufuku viroba,bahat mbaya siasa zikaingia,haya ndo madhara yake.
 
Hivi ni mara ngapi vivuko vimekaribia kuua maelfu hapo Kigamboni..hilo hulioni..
Mkuu sio vilikaribia kuua watu, wamekufa watu kwenye hicho kivuko na kilikuwa kimeharibika hakuna kivuko watu wanavushwa kwa Mitumbwi!Mpaka kigamboni kulikuwa kunaitwa Falkland!.
Kuna ndugu zangu wanaishi huko akitaka kuvuka kwa gari lake asubuhi kama ana ahadi na mtu saa 2 asubuhi inabidi amke saa 10 alfajiri ili kuwahi miadi yake. Mwingine anafanyakazi jirani na Salamander au Ex telecom gari analiacha mitaa ya kina Scaba Scuba anavuka bila gari akitoka kazini jioni analipitia kurudi kwake mji mwema.
 
Hajielewi...yeye anakaa gongo la mboto ndio maana haoni umuhimu
Na wala sio Gongo la Mboto! Atakuwa ni wale walioanzishiwa Jukwaa la Kilimo hivi karibuni manake sidhani kama kuna mkazi wa G . Mboto ambae hajawahi fika Ferry akaona shida wanayopata watu pale.
 
Huishi kigamboni mkuu,halafu hata uchumi huujui pia..
 
Mnavyonsifia dr daudi ni kama mtu akusifie wewe kwa kulea familia yako na wakati ni wajibu wako
 
Mkuu unaona daraja alina umuhimu kwa vile si mtumiaji au si mkazi wa yale maeneo usika na ujui adha walizokuwa wanazipata wakazi wa kule...
 
Hilo watu wengine hawalioni..wao kila kitu ni siasa tu..
 
Hilo watu wengine hawalioni..wao kila kitu ni siasa tu..

Mkuu nilikuwa nimekwenda kutalii leo kujionea Daraja kabla ufunguzi rasmi,kwa kweli adhabu ya kusubiri kivuko saa tatu hujavuka umepata muarubaini wake.
Ushuhuda picha hizo na kitochi changu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…