Mkuu sio vilikaribia kuua watu, wamekufa watu kwenye hicho kivuko na kilikuwa kimeharibika hakuna kivuko watu wanavushwa kwa Mitumbwi!Mpaka kigamboni kulikuwa kunaitwa Falkland!.
Kuna ndugu zangu wanaishi huko akitaka kuvuka kwa gari lake asubuhi kama ana ahadi na mtu saa 2 asubuhi inabidi amke saa 10 alfajiri ili kuwahi miadi yake. Mwingine anafanyakazi jirani na Salamander au Ex telecom gari analiacha mitaa ya kina Scaba Scuba anavuka bila gari akitoka kazini jioni analipitia kurudi kwake mji mwema.