chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Kwa sasa ukikutwa gesti mchana Dar unakmatwa kwa kosa la kulala muda wa kazi, polisi walikuwa wanafanya msako Tegeta kukamata watu hao
Kanusho la Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda
Kanusho la Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda
Akihojiwa kwenye kipindi cha Pb Clouds amesema hajawahi kutoa maagizo kama hayo, kinachofanyika ni Umbeya umbeya tu.
"Mimi kama Mwenyekiti wa ulinzi Na usalama siwezi kutoa maagizo kama haya, kuna watu wanafanya kazi viwandani wengine usiku hivyo wanahitaji kupumzika mchana huwezi kuwazuia"
Kinachofanyika ni Umbeya, siwezi kujibu hoja za kimbeya ni ujinga ....alimaliza Mh Makonda.!