kapikita
Senior Member
- Jun 8, 2014
- 131
- 72
Kumekuwapo na unyanyasaji mkubwa na usumbufu unaofanywa na askari pamoja na mgambo eneo la Tegeta kwa ndevu barabara ya bagamoyo.
Askari hawa huvamia bodaboda kwa nguvu na kuchomoa funguo ukiwa katikati ya barabara suala linaloweza sababisha ajali.
Wakishakukamata kipaumbele chao cha kwanza ili wakuachie au wasikuandikie faini inabidi utoe tsh efu 10, ndio Wanakuachia
Kiongozi wao mashuhuri wa kuchukua rushwa anaitwa afande KICHUYA, huyu hana dogo akikukamata toa buku teni yako anakuachia.
Hii imekua kero kubwa kwa watumiaji wa barabara hii
Askari hawa huvamia bodaboda kwa nguvu na kuchomoa funguo ukiwa katikati ya barabara suala linaloweza sababisha ajali.
Wakishakukamata kipaumbele chao cha kwanza ili wakuachie au wasikuandikie faini inabidi utoe tsh efu 10, ndio Wanakuachia
Kiongozi wao mashuhuri wa kuchukua rushwa anaitwa afande KICHUYA, huyu hana dogo akikukamata toa buku teni yako anakuachia.
Hii imekua kero kubwa kwa watumiaji wa barabara hii