C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,074
- 3,743
Wakongwe salaam,
Nina mpango wa kuwasha ndinga kutoka Dar mpaka Pretoria South Africa hivi karibuni.
Dhumuni hasa kuna mizigo miwili mitatu nataka nikafanye shopping kwa ajili ya biashara (mobile phones)
Mizigo hiyo nina mpango wa kusafiri nayo kwenye gari kwa maana niweke kwenye buti.
Lengo la kwenda na gari ni kwanza kufanya utalii wa Africa lakini pia kuendesha kwa mwendo mrefu maana passion yangu kubwa ni kuendesha mwendo mrefu.
Gari ninayotaka kuitumia ni Toyota Mark X yenye cc 2500.
Sasa wakongwe naomba ushauri katika nyanja zifuatazo;
(1) Mafuta niandae kiasi gani kwenda na kurudi (max).
(2) Sehemu gani korofi katika njia hiyo ki miundombinu na kiusalama.
(3) Mipakani regulations kama unatoka na mzigo wa biashara toka pretoria kwenda Dar inakuwaje?
(4) Vitu gani vya muhimu ambavyo ni lazima niwe navyo standby.
(5) Na safari inakadiria kuchukua siku ngapi (max).
(6) Mwisho kabisa ni changamoto gani nitarajie kukutana nayo kwenye njia hiyo.
(7) Lakini pia ni mazuri gani nitarajie kukutana nayo kwenye safari hiyo.
Nina mpango wa kuwasha ndinga kutoka Dar mpaka Pretoria South Africa hivi karibuni.
Dhumuni hasa kuna mizigo miwili mitatu nataka nikafanye shopping kwa ajili ya biashara (mobile phones)
Mizigo hiyo nina mpango wa kusafiri nayo kwenye gari kwa maana niweke kwenye buti.
Lengo la kwenda na gari ni kwanza kufanya utalii wa Africa lakini pia kuendesha kwa mwendo mrefu maana passion yangu kubwa ni kuendesha mwendo mrefu.
Gari ninayotaka kuitumia ni Toyota Mark X yenye cc 2500.
Sasa wakongwe naomba ushauri katika nyanja zifuatazo;
(1) Mafuta niandae kiasi gani kwenda na kurudi (max).
(2) Sehemu gani korofi katika njia hiyo ki miundombinu na kiusalama.
(3) Mipakani regulations kama unatoka na mzigo wa biashara toka pretoria kwenda Dar inakuwaje?
(4) Vitu gani vya muhimu ambavyo ni lazima niwe navyo standby.
(5) Na safari inakadiria kuchukua siku ngapi (max).
(6) Mwisho kabisa ni changamoto gani nitarajie kukutana nayo kwenye njia hiyo.
(7) Lakini pia ni mazuri gani nitarajie kukutana nayo kwenye safari hiyo.