Aaron
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,019
- 4,693
Zina sema hivi.
POLISI WAMEZUIA KONGAMANO LA CHAMA LA KUCHAMBUA BAJETI
Tunasikitika kuwataarifu Wananchi Na Umma Kwa Ujumla kuwa Polisi katika Mkoa wa Dar es Salaam wametuzuia kufanya Kongamano letu lililolenga kuchambua Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2016/2017. Polisi wamezingira eneo la ukumbi wa Kongamano (LAPF Millenium Towers) tangu saa 12.00 asubuhi.
Viongozi Wakuu wa chama wanakutana na waandishi wa Habari wa Makao Makuu ya Chama Kijitonyama kuanzia saa 7.30 Mchana kwa taarifa zaidi.
Abdallah Khamis
Afisa Habari Mkuu
Chama cha ACT-Wazalendo.
POLISI WAMEZUIA KONGAMANO LA CHAMA LA KUCHAMBUA BAJETI
Tunasikitika kuwataarifu Wananchi Na Umma Kwa Ujumla kuwa Polisi katika Mkoa wa Dar es Salaam wametuzuia kufanya Kongamano letu lililolenga kuchambua Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2016/2017. Polisi wamezingira eneo la ukumbi wa Kongamano (LAPF Millenium Towers) tangu saa 12.00 asubuhi.
Viongozi Wakuu wa chama wanakutana na waandishi wa Habari wa Makao Makuu ya Chama Kijitonyama kuanzia saa 7.30 Mchana kwa taarifa zaidi.
Abdallah Khamis
Afisa Habari Mkuu
Chama cha ACT-Wazalendo.