Jamani waungwana kwa anaejua nauli ya Dar to Njombe Kwa sasa imefika ngapi jamani. Kwa basi.
Wenu mtiifu,
Kambaku
Jamani waungwana kwa anaejua nauli ya Dar to Njombe Kwa sasa imefika ngapi jamani. Kwa basi.
Wenu mtiifu,
Kambaku
Kwa usafiri gani?Jamani waungwana kwa anaejua nauli ya Dar to Njombe Kwa sasa imefika ngapi jamani. Kwa basi.
Wenu mtiifu,
Kambaku
Swali zuri..atanabaisheKwa usafiri gani?
Mwakajinga ulisoma bandiko langu lakini vizuri kama hujamsapoti huyo jamaa uliyemsapoti?Swali zuri..atanabaishe
Kama bus ,inarange 25,000/= hadi 35,000/=
Ndege,mwaka jana precision ilikua 120,000/=
Train kitu kama 15,000/=
Usafiri wa meli hamna...
Meli na Jahazi hamna HahahahSwali zuri..atanabaishe
Kama bus ,inarange 25,000/= hadi 35,000/=
Ndege,mwaka jana precision ilikua 120,000/=
Train kitu kama 15,000/=
Usafiri wa meli hamna...
Shukrani sana mkuuMara ya mwisho kwenda huko mkuu Kambaku (ng'ombe dume ) gari nzuri ilikuwa Nyagawa,Otta high class,Galaxy na Njombe express au New force(Golden deer) na super feo zinazoenda hadi songea na mbiga nauli ikiwa 25000 mpaka 30000 tu mpaka njombe mjini
Precision hawafiki Njombe kuwa makiniSwali zuri..atanabaishe
Kama bus ,inarange 25,000/= hadi 35,000/=
Ndege,mwaka jana precision ilikua 120,000/=
Train kitu kama 15,000/=
Usafiri wa meli hamna...
Precision inaenda Njombe au ilikodiwa? Si dhani kama kuna uwanja wa kutua ndege za abiria Njombe labda Iringa nako ni hivi majuzi ndio wamepeleka BombadiaSwali zuri..atanabaishe
Kama bus ,inarange 25,000/= hadi 35,000/=
Ndege,mwaka jana precision ilikua 120,000/=
Train kitu kama 15,000/=
Usafiri wa meli hamna...
Ok mkuu...Boss kwani mbona nimeandika kabisa kwa Basi?
Precision hawafiki Njombe kuwa makini
Kwa treni anashukia Makambako?Swali zuri..atanabaishe
Kama bus ,inarange 25,000/= hadi 35,000/=
Ndege,mwaka jana precision ilikua 120,000/=
Train kitu kama 15,000/=
Usafiri wa meli hamna...