Ph-25
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 1,159
- 537
Kwaio unajimwambafai kumsomesha ili uzini nae alafu uko kujimwambafai kwako ndio uite msaada na Mungu akulipe.?
Wacha kumuhusisha Mungu alie hai na wa kweli ktk mambo ya kishenzi.
Wacha kumuhusisha Mungu alie hai na wa kweli ktk mambo ya kishenzi.
Ushauri wangu, ukiamua kumsomesha...Fanya kama unatoa sadaka! Mungu atakulipa fadhila zako!