GE2025 Dar: Mtangazaji wa Clouds, Master Tindwa apigwa risasi

GE2025 Dar: Mtangazaji wa Clouds, Master Tindwa apigwa risasi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Makumbele

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2009
Posts
243
Reaction score
1,063
Tindwa amepigwa risasi akiwa kibarazani kwake tu; wala sio kwenye maandamano.

320f8be3-7835-415d-90d5-8b40ea61a0ad.jpeg


Inaonekana Polisi now hawavai sare zao.

Wanavaa kiraia na wanatumia magari ya kawaida. Wanaofanya matukio haya wamevaa kininja na wanatumia IST.

Pole sana Tindwa
 
Hao sio polisi wa Tanzania. Ni kikundi cha wanajeshi wa Uganda kilichoingizwa na Samia kumsaidia kuwaua Watanzania ili wabaki madarakani.

Waiteni JWTZ waje kutuliza.

Hadi Tegeta walikuwepo ila waliwaita JWTZ wakadeal nao
 
Kwa hiyo hajafa? Kama hajafa ni jambo la kushukuru Mungu kwa kweli

Hawa wauaji wa Uganda warudi kwao sasa
 
Mungu ibariki Tanzania nchi yangu....simama na wananchi wenzangu walio katika Giza huku wakipambania haki zao
 
Haya ndio madhara ya kuteua watu wasio na sifa katika sensitive posts.

DGIS anaweza ingiza kikosi cha nje kweli. Kama kuna waganda halafu wanafanya kazi uncoordinated na vyombo vya ndani lazima kutakuwa na madhara kama haya.

Jamaa wakubali yaishe tu salama kuliko kuongeza hasira zitakazotaka malipo ya visasi.
 
Haya ndio madhara ya kuteua watu wasio na sifa katika sensitive posts.

DGIS anaweza ingiza kikosi cha nje kama kweli kuna waganda halafu kufanya Kazi uncoordinated na vyombo vya ndani bila ya kuleta madhara kama haya.

Jamaa wakubali yaishe tu salama kuliko kuongeza hasira zitakazotaka malipo ya visasi.
Tegeta JWTZ ndo walikuja kuwashughulikia.

Wengi hawaongei hata kiswahili vizuri. Tukimalizana na huyu mshenzi Samia kituo kinachofuata ni Museven na mtoto wake.
 
Kwani hivi karibuni aliwahi kuongelea siasa kwa ukweli na uwazi?
Hali ya sasa siyo lazima uwe umeongelea siasa au hukuongelea. Ni mtego wa panya.... kuingia walioko na wasioko. Ndiyo maana kila siku tunaambiwa tukemee viongozi wabovu kabla mambo hayajaharibika. Ni watanzania wengi walikuwa wanajifanya eti ''mimi sitaki siasa'' bila kujua madhara yake.
 
Risasi za kulengana nje nje ?

Sasa. ndio vita inaenda kuanza ivo...

Museveni hataki Samia aondoke. Kwa saab hajui atakuja mwamba gani.

Rahisi sana outsiders kuitafuna Tanzania kama Rais ni Samia type.

Samia akiwa mbele ya Museve9999ni alimtukana Prof Mkenda alipokataa kuagiza sukari ya Uganda wakati hakuna upungufu supply ya ndani.

Museveni anatafuta soko la bidhaa zake. Samia na kina Bashe wanatafuta mianya ya kupiga kwa dirisha la sukari ya kuagiza.

Mu7 anajua huwezi kuitafuna kirahisi nchi ya mtu kama Lissu, Kagame, Magufuli
 
Kwa hiyo Jeshi linafahamu hilo na imebariki hao Waganda wawepo nchini.......!!?
Hawakuingia kupitia Jeshi. Aliwaingiza DGIS kupitia dawati la siasa la TISS wanaofanya kazi chini ya malekezo ya Samia, Abdul, Mchengerwa na Waziri Salum katibu wa Rais
 
Haya ndio madhara ya kuteua watu wasio na sifa katika sensitive posts.

DGIS anaweza ingiza kikosi cha nje kama kweli kuna waganda halafu kufanya Kazi uncoordinated na vyombo vya ndani bila ya kuleta madhara kama haya.

Jamaa wakubali yaishe tu salama kuliko kuongeza hasira zitakazotaka malipo ya visasi.
This is some ICC level atrocities.

Yani sasa hivi Samia na genge lake hata wakijiuzulu wafunguliwe kesi ICC. Kama hawajamalizwa kabisa.

Watu wa document haya mambo tu kama ushahidi.
 
Back
Top Bottom