zamani tulidhani elimu iwe kwa wahasibu na madaktari tu ila askari std VIII na Form IV Div ... ni kwa ccp! Sasa angalai 'mavuno yake, nina imani kama polisi (hasa walioko kwenye fields) wangekuwa wamefikia kiwango cha elimu cha wanaowapiga mabomu wangengelijua what are those students demanding and what it takes!