Dar: Mabomu na risasi Ubungo

**** tanzania......**** evry leader ther z....regardless...
 
tatizo la mzee alhaji dr jk akijibu hizi issues anatumia vitisho kwa vile anaamini yeye ndiye upande salama wa kisu. Nakumbuka siku anatashia mgomo wa wafanyakazi pale karimjee ...sasa na watendaji wake (either bila kujua) wanaendeleza hayo hayo. Angalia mzee kove, kule arusha na hata pm wake anafuatishia ili kulinda kibarua!
Arusha! Mwanza! Leo Mbeya na Udsm! Kesho mabomu yatalindima ikulu!! Pole sana jk achia ngazi mapema kabla hayajakufika ya marehemu hayati the late Ghadafi.
 
Yaani wanatengeneza bomu ambalo siku likilipuka watatafutana nakwambia. You simply take my words
 
Mabomu kila mahali, sio dar, sio mbeya, sio arusha! ifike mahali tuanze kureview criteria za kuwapa watu mamlaka katika vyombo vyetu vya dola

mi nadhani hii ni vita kati ya jeshi la ccm(police) na raia nchi nzima.
 
Huu ndio mwanzo wa mwisho wa Watawala wabovu wasioitakia mema hii nchi nzuri.
 
Alafu viongozi wetu watajifanya kuhubiri TZ nchi ya amani, JK amani iko wapi apa kama police wanaamua kuwashambulia raia kama wana hamu ya vita nanyie wapelekeni somalia labda wakirudi wanaeza kubadilika
 
mpaka siku vichwa vya polisi hawa wajinga vitakavyoburuzwa barabarani ndipo haya magamba yatakapoanza kuajiri polisi wenye elimu na busara
 
Umenena. Elimu ni ufunguo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…