Dar itakavyoathirika Serikali ikihama

Dar itakavyoathirika Serikali ikihama

kusema Dar es salaam ita dorola sio kweli ila kwenda dodoma! Mji ule niujuavyo unashida ya Maji sana sina hakika kama Serikali imesha fanya maandalizi ya kutosha hasa katika kuboresha miundombinu mbalimbali kwajili ya kuwapokea maelfu ya Watu
 
Sasa wale wagogo omba omba mmewafuata kwao! Msije mkawasumbua tena warudi Dar! Kule muwaache home ground kabisa!!
 
Biashara:
Nyumba nyingi Masaki, Osterbay zimepangwa na watumishi waserikali pale Serikali itakapo ondoka na watumishi nyumba zitapungua kodi na masaki itapungua thamani na ulizi utapungua.

Hotel nyingi zitadorora kama zinavyodorora sasa watumishi wengi washazoea kupiga na kufanya party hotel. Sasa uko wanakoelekea hela ipo kwenye mzunguko mdogo maana hapa kazi hii sera inahitaji kuwa makini na majukumu uliyopangiwa.

Magari yatapungua sana hapa mjini na kelele za ving'ora zitapungua

Soko la wasichana;
Kwa wale wanaopenda slope kwa mtumishi anakupa lift au ela ujue imekula Kwako jipange sasa.

Karibu ndugu ulichoona kwenye uchumi wa Dar utakuaje /effect of gvt after go Dodoma Chamwino.


hakuna ukweli wowote kwa mshahara upi?
 
Biashara:
Nyumba nyingi Masaki, Osterbay zimepangwa na watumishi waserikali pale Serikali itakapo ondoka na watumishi nyumba zitapungua kodi na masaki itapungua thamani na ulizi utapungua.

Hotel nyingi zitadorora kama zinavyodorora sasa watumishi wengi washazoea kupiga na kufanya party hotel. Sasa uko wanakoelekea hela ipo kwenye mzunguko mdogo maana hapa kazi hii sera inahitaji kuwa makini na majukumu uliyopangiwa.

Magari yatapungua sana hapa mjini na kelele za ving'ora zitapungua

Soko la wasichana;
Kwa wale wanaopenda slope kwa mtumishi anakupa lift au ela ujue imekula Kwako jipange sasa.

Karibu ndugu ulichoona kwenye uchumi wa Dar utakuaje /effect of gvt after go Dodoma Chamwino.

Uliwekeza kwenye Sekta gani Boss,
Inaonekana Umeguswa, Mji Mkuu wa Tanzania ni Upi ?
 
kusema Dar es salaam ita dorola sio kweli ila kwenda dodoma! Mji ule niujuavyo unashida ya Maji sana sina hakika kama Serikali imesha fanya maandalizi ya kutosha hasa katika kuboresha miundombinu mbalimbali kwajili ya kuwapokea maelfu ya Watu
Kwani Dar hakuna shida ya maji ?
 
Mazoea mabaya sana Hivi Dar kunanini hasa? Jamani tuhame mbona Dom fresh tu tunache mazoea ya kuishi sehemu moja
 
Kuhamia Dodoma ni wazo zuri itasaidia kukua kwa miji mingine as nafkr wawekezaji nao watahamia huko ikumbukwe kukua kwa Dodoma kutaadhiri pia mikoa jirani.... Na hyo ndo dawa ya foleni jijini Dsm.... Itapunguza hali yakila kitu kuwa Dar
 
mmesahau kwamba makao makuu ya ikulu ya marekani mwanzoni yalikua New York lakini baadae wakahamishia Washington DC, ila mpaka leo hakuna jiji linalopendwa na watu kama New York, pale ndo kuna mpunga, wajanja, biznes nyingi na mzunguko mkubwa wa pesa na limekua ni jiji la kitalii.. Nadhani itakua the same kwa Dar es salaam baada ya serikali ya mabepali kuhamia Dodoma.

hii mipango ni ya kitambo sana, serikali haijakurupuka.. kuna mipango mingi mno ya mda mrefu (Long term plans) ambayo hatuijui, tunavyopiga kelele hivi wanatuchora tu.
 
Unahesabu hasara ila hutaki kuziona faida za kwenda Dom. Kimsingi dili dili za dar kwisha habari yake, wazaramo wanarudishiwa mji wao ukiwa msafi ili wakauchafue tena
 
Fulsa fulsa kwa wagogo omba omba sasa fuko la pesa limeangukia miguuni mwenu.
 
Hiyo Dododoma yetu wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM ilishindwa ku accomodate watu takribani 3,000. Kiuweli kuhamia Dodoma ilitakiwa ifanyike kwa awamu
1. Hakuna Bajeti ya kuhamia Dodoma
2. Hakuna miundo mbinu ya kumudu idadi kubwa ya Watumishi wa umma, wafanyabiashara, Wajasirimali na Wananchi wanao hitaji huduma za Kiserikali na Kijamii.
3. Hoja ya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi haiendani na dhana za Karne ya sasa ya Sayansi na Teknlojia ambapo unaweza kufanya asilimia kubwa ya mambo bila kufika sehemu physically
4. Kuna uwekezaji mkubwa sana umefanyika na unaendeleakufanyika Dar kwa matarajio kuwa ndo palikuwa kwenye Soko kubwa, kwahiyo Serikali na Sekta binafsi zote zitapata hasara ya maana hususani kwenye ujenzi/makazi.
5. Hatuambiwi gharama za kwenda Dodoma bali tunashawishiwa kukubali kwenda Dodoma, tutakapo kuwa tunalipia gharama za kutunza nyumba au majengo ya Serikali yatakayo baki Dar ndo tutakumbuka tulistahili kuhoji. Sasa ni nderemo na vifijo tu
 
mmesahau kwamba makao makuu ya ikulu ya marekani mwanzoni yalikua New York lakini baadae wakahamishia Washington DC, ila mpaka leo hakuna jiji linalopendwa na watu kama New York, pale ndo kuna mpunga, wajanja, biznes nyingi na mzunguko mkubwa wa pesa na limekua ni jiji la kitalii.. Nadhani itakua the same kwa Dar es salaam baada ya serikali ya mabepali kuhamia Dodoma.

hii mipango ni ya kitambo sana, serikali haijakurupuka.. kuna mipango mingi mno ya mda mrefu (Long term plans) ambayo hatuijui, tunavyopiga kelele hivi wanatuchora tu.

..jarida la The East African wamesema gharama za kuhamia Dodoma ni usd 500++ million ktk kipindi cha miaka 5.

..sasa tunapaswa kujiuliza kama ni busara kutumia fedha hizo kuhamia Dodoma au tuzielekeze kutatua kero mbalimbali.

..majuzi tulipokea msaada wa usd 407++ million toka Us-Aid over five yrs. Fedha hizo ni kwa ajili ya miradi mbalimbali ya kijamii.

..sasa kumbe tuna upungufu wa fedha hata kwa mambo ya msingi kama afya, sasa kwanini tunajitumbukiza ktk matumizi yasiyo ya lazima kama kuhamisha mji mkuu?

Cc Bukyanagandi, The Boss, MsemajiUkweli, Mag3
 
..jarida la The East African wamesema gharama za kuhamia Dodoma ni usd 500++ million ktk kipindi cha miaka 5.

..sasa tunapaswa kujiuliza kama ni busara kutumia fedha hizo kuhamia Dodoma au tuzielekeze kutatua kero mbalimbali.

..majuzi tulipokea msaadas wa usd 407++ million toka Us-Aid over five yrs. Fedha hizo ni kwa ajili ya miradi mbalimbali ya kijamii.

..sasa kumbe tuna upungufu wa fedha hata kwa mambo ya msingi kama afya, sasa kwanini tunajitumbukiza ktk matumizi yasiyo ya lazima kama kuhamisha mji mkuu?

Cc Bukyanagandi, The Boss, MsemajiUkweli, Mag3


Kiongozi hapo ndo huwa nachoka na hizi Siasa za Tanzania, naunga mkono hoja pesa kupelekwa kwenye mambo ya msingi kama vile
1. Afya
2. Elimu
3. Kilimo
4. Miundo mbinu
5. Ujasiriamali iwe mikopo au vifaa/zana
 
Dar walianza kuikataa ccm na kuamua kuchagua ukawa, ccm kwa visasa uta waweza wameamua kuelekea Dodoma waliko chaguliwa majimbo yote wakakae na wawapendao.
sio kwamba ni mpango ulipamgwa miaka kadhaa ilopita mkuu hivyo anachofanya uncle magu ni kuutekeleza tu
 
Kiongozi hapo ndo huwa nachoka na hizi Siasa za Tanzania, naunga mkono hoja pesa kupelekwa kwenye mambo ya msingi kama vile
1. Afya
2. Elimu
3. Kilimo
4. Miundo mbinu
5. Ujasiriamali iwe mikopo au vifaa/zana

..Magufuli alitakiwa awe na vipaumbele vichache vyenye multiplier effect ktk uchumi wa nchi.

..kuhamia Dodoma na kujenga uwanja wa ndege Chato siyo vipaumbele sasa hivi.
 
Back
Top Bottom