Dar express jirekebisheni, otherwise!

Dar express jirekebisheni, otherwise!

Baba C

Senior Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
125
Reaction score
55
Nimepanda basi la dar express kwenda arusha than nairobi. Kinachonishangaza pamoja na safari ndefu ya basi bado linaendelea kuokota abiria wa njiani mara same,mwanga,moshi n.k MNATUBOA ABIRIA
 
Nimepanda basi la dar express kwenda arusha than nairobi. Kinachonishangaza pamoja na safari ndefu ya basi bado linaendelea kuokota abiria wa njiani mara same,mwanga,moshi n.k MNATUBOA ABIRIA

Ya Nini Ujichoshe? Si Upande Tu Mbun'go / Pipa ( Ndege )!
 
Hao jamaa wamepoteza mwelekeo siku nyingi, wanaelekea kuwa kama Scandinavia
 
Nimepanda basi la dar express kwenda arusha than nairobi. Kinachonishangaza pamoja na safari ndefu ya basi bado linaendelea kuokota abiria wa njiani mara same,mwanga,moshi n.k MNATUBOA ABIRIA

hebu jaribu kufikili ww ndo ungekua unapandia njian au ndugu yako wa karbu alafu ume/ameachwa eti kisa abilia m1 wa ndan watu wanenda sehem tofaut mcba., interviw. Harus. N.k alaf we unafikili ni ww tu ndo mweny haraka bro ungekod boda boda kwa hapo ungelalamika sawa au fast jet ila bas ni public sory
 
Hilo kampuni lishakufa long time tu. Limebaki jina tu
 
Pole sana mkuu ndiyo usafiri uliopo sasa ulitaka wenzio waachwe,?

Kuwa na hata chembe ya huruma , ungekuwa wewe ungejiskiaje kuachwa!
 
Acha ujinga ndugu, yaani hukutaka kuisumbua akili yako kuwaza hata kidogo. sasw hao wa same hawastahili kwenda nairobi? wapandie wapi au waje mpaka ubungo ? mbona hulalamikii waliposimama mombo au same kukupa chakula? isitoshe kama watu wa same wakizuia hilo gari kupita same utafikaje arusha? kumbuka na wale wanaoshuka same itakuwaje kama wasiposimama au unajua makazi ya watu ni arusha na nairobi tu? fikiri zaid ya uonavyo mkuu
 
Acha ujinga ndugu, yaani hukutaka kuisumbua akili yako kuwaza hata kidogo. sasw hao wa same hawastahili kwenda nairobi? wapandie wapi au waje mpaka ubungo ? mbona hulalamikii waliposimama mombo au same kukupa chakula? isitoshe kama watu wa same wakizuia hilo gari kupita same utafikaje arusha? kumbuka na wale wanaoshuka same itakuwaje kama wasiposimama au unajua makazi ya watu ni arusha na nairobi tu? fikiri zaid ya uonavyo mkuu
naona unamsakama bure bila ku-read between the line na unanifanya nihisi una hisa na kampuni hiyo, Dar Express ina basi za Arusha na Nairobi na yeye ameongelea za Nairobi ilihali unaongelea za Arusha...........Dar Nairobi zinaeleweka kabisa kwamba haziokoti na ni ajabu abiria wa same asubiri Dar Express ya Nairobi huku ana alternatuve nyingi sana na ni kujichelewesha tu......tusifunike kombe kumpisha mwanaharamu...........na ukweli kabisa Dar Express ya leo siyo ile, ukishaona inaokota ujue inaelekea kutokota
 
Kwani hao walioko same na sehemu nyingine siyo abiria na wenyewe waendeje Nairobi?

Kodi taxi au chukua usafiri wa ndege..

Ubinafsi ni kitu kibaya sana.
 
naona unamsakama bure bila ku-read between the line na unanifanya nihisi una hisa na kampuni hiyo, Dar Express ina basi za Arusha na Nairobi na yeye ameongelea za Nairobi ilihali unaongelea za Arusha...........Dar Nairobi zinaeleweka kabisa kwamba haziokoti na ni ajabu abiria wa same asubiri Dar Express ya Nairobi huku ana alternatuve nyingi sana na ni kujichelewesha tu......tusifunike kombe kumpisha mwanaharamu...........na ukweli kabisa Dar Express ya leo siyo ile, ukishaona inaokota ujue inaelekea kutokota

Acha ubinafsi abiria anayetokea Same kwenda nairobi hatakiwi kupakia Dar Express. Jiweke katika nafasi ya huyo abiria anayetokea Same kwenda Nairobi then uone kama hiyo gari ikipita utaihitaji ama la!!!

Hiyo gari ya kwenda Nairobi ni public au ni private. Kama ni private kila mtu ana haki ya kulalamika ila kama ni public hao abiria Wa Same wana haki ya kupakia pia.

Tatizo watu wengi ni wabinafsi sana. Unakuwa mbinafsi mpaka kwenye chombo cha umma, ya kwako sijui itakuwaje mwana
 
Nimepanda basi la dar express kwenda arusha than nairobi. Kinachonishangaza pamoja na safari ndefu ya basi bado linaendelea kuokota abiria wa njiani mara same,mwanga,moshi n.k MNATUBOA ABIRIA

Ni vizuri ukatambua kuwa Dar Express ni kampuni yenye mawakala katika miji tofauti kwa ajili ya kuhudumia wateja wao na huwasiliana na basi husika ili kujua kama nafasi zipo kwa ajili ya wasafiri wa kupandia njiani. Nitashangaa wakipeleka basi lisilojaa na kuwaacha abiria wao wa vituo vya njiani bila sababu ya msingi, pia elewa kuwa hata abiria wa njiani wana haki ya kupata huduma nzuri kama uliyopata wewe na yuko tayari kulipa. Utherwise panda ndege.
 
du, ubinafsi umesababisha ufisadi mkubwa nchi hii, Nyerere kafa na umoja, hivi waliopo njiani hawapaswi kupanda ma,basi? au wakitaka kuyapanda waruke kwa ungo kwanza hadi ubungo waanzie safari hapo? aisee uchoyo si kwenye chakula tu,
 
Nimeshajua tunachangia kisame, kishamba na kijamaa sana, laiti tungeju maana ya basi kuitwa EXPRESS...........walau ingetutoa tongotongo

nawashauri mfike Livingstone mpande basi za Intercape au Trans-lux ...kuna logic kwa lux buses zote kuwatangazia key stoppage wakati mnaondoka na hata lux buses za Tz aghalabu hufanya hivyo na nimeshuhudia mara nyingi tu
 
Back
Top Bottom