Dar express jirekebisheni, otherwise!

Dar express jirekebisheni, otherwise!

siongelei ubinafsi naongelea kuji-organise..........call a spade a spade ...Hii siyo Dar Express ile
Acha ubinafsi abiria anayetokea sama kwenda nairobi hatakiwi kupakia Dar Express. Jiweke katika nafasi ya huyo abiria anayetokea same kwenda Nairobi then uone kama hiyo gari ikipita utaihitaji ama la!!!

Hiyo gari ya kwenda Nairobi ni public au ni private. Kama ni private kila mtu ana haki ya kulalamika ila kama ni public hao abiria Wa same wana haki ya kupakia pia. Tatizo wengi wa watu ni wabinafsi sana.
 
Nimeshajua tunachangia kisame, kishamba na kijamaa sana, laiti tungeju maana ya basi kuitwa EXPRESS...........walau ingetutoa tongotongo

nawashauri mfike Livingstone mpande basi za Intercape au Trans-lux ...kuna logic kwa lux buses zote kuwatangazia key stoppage wakati mnaondoka na hata lux buses za Tz aghalabu hufanya hivyo na nimeshuhudia mara nyingi tu

Kama issue ni kuitwa EXPRESS panda Sai Baba Express ndio utajua Dar Express wanajitahidi.
 
Back
Top Bottom