Dar-es-salaam Umeme umekatika sasa hivi

Dar-es-salaam Umeme umekatika sasa hivi

Umeshaambiwa TANESCO wana accumulated loss ya 1.4 trillion. Na bodi inatakiwa ivunjwe.

Mmemwaga ugali na wao wanamwaga mboga
 
Tayari washakata umeme ,sasa sielewi lengo lao ni nn wakati Radio zimetapakaa kila kona .

Maeneo mengi hawataki watu tuendelee kufuatilia bunge kwa uelewa wao mdogo wanasahau kuna watu wana magenereta, radio na simu
 
Ukikatisha na gari pale matumbi ukapita maeneo haya ya kigogo mwembe jando mpaka mapera umeme upo mpaka unatokea pale round about ya kigogo
 
Back
Top Bottom