Dar es Salaam (Tz) Vs Nairobi (Kny)

Dar es Salaam (Tz) Vs Nairobi (Kny)

Umesahau kitu hizo daladala za Kenya mabody yake hutengenezwa kenya hapo hapo
1470652109103.jpg
 
Kibera

Kuna wanangu wanapiga mbishe uko hata hawataki kuskia habari za bongo
 
Acha uongo nilikuwa nairobi juzi south C hakuna maji, na kama kutoka wanasema yanatoka usiku sana around saa nane au tisa usiku basiii
Sasa si ndio nimesema, hiyo sio jambo la kawaida kutokuwa na maji kwenye mitaa za jiji la Nairobi. Wewe unaishi Nairobi, unapajua kuniliko?

Mtaa wa South C, mtu alipie nyumba kshs 35k, 45k ama hata 90k na akubali ati akose maji kila siku?

Nairobi residents to experience water shortage from Monday

655531.jpg


Parts of the city will have reduced water supply all-week due to rehabilitation works at the Sasumua-Kabete water transmission pipeline in Aberdare forest.

The Nairobi City Water and Sewerage Company announced on Sunday that the maintenance and rehabilitation works starts today at 6.00am to Saturday March 19 at 6.00pm.

The statement sent to newsrooms said that “there will be partial interruption of water supply.”

The exercise shall enhance water supply to the city, read the statement.

Residents are requested to use their storage water sparingly.

Affected areas are along Waiyaki Way, Naivasha road, Kangemi, Lavington, Westlands, Parklands, MP Shah Hospital, Agha Khan Hospital, ILRI, Upper hill and Kilimani.

Also to be affected are Nairobi Hospital, Kenyatta National Hospiyal, Community, University of Nairobi main campus hall of residence, Upper and Lower Kabete Campus and Nairobi's and Kenyatta Universalities parkland campuses.

Other areas that will be affected include estates around Kenyatta market, Kibera Ngando, Riruta Satellite, Dagoretti Corner, Kawangware, Langata , Madaraka, Mbagathi and Ngong road and Karen.

Nairobi residents to experience water shortage from Monday

NB kupe: It is within Langata where South C is located


From the NWSC FB Page

Nairobi Water Company
August 5 at 2:58pm ·
‪#‎NOTICE‬ NCWSC would like to inform its esteemed customers of an interruption of water supply on Tuesday, August 9, 2016 (6.00am) to Wednesday, August 10, 2016 (6.00 pm) along Outer Ring Road. ‪#‎ShareWidely‬


Nairobi Water Company | Facebook
 
Wanamchukuliaje mtanzania kule kwao intem of lifestile, na Tabia kwa ujumla
in short wanatuona watanzania kama wakarimu sana. pia wanawasifia sana wanawake wetu kwa maumbile na uzuri.also wanawapenda sana wasanii wa tz kama diamond,alikiba ommy dimpoz etc pengine kuliko sisi tunavyowapenda wasanii wao. wana appreciate sana amani yetu.then Magufuli ni maarufu sana kule.wanamfuatilia sana.lakini wao hujiona wako juu kielimu.
 
vipi kuhusu elimu?
kielimu nairobi na kenya wako juu kwakweli.kwa sasa kule masters ndo mpango mzima.watu hawatosheki na degree.wanaosoma masters ni wengi sanaa.pia shule ziko advanced sana wana wanafunzi vichwa kweli.wengi wanaotoka kule kuja bongo wanasumbua sana. capitalists wameinvest sana kk elimu na wamemordenise shule zao ziko kama za mbele.wanafunzi wengi wako bright na wanajifunza kwa vitendo zaidi
 
Tupe taarifa ya population kwa kila jiji..
kwakweli siwezi kujua exact figures japo kutokana na sensa najua population ya dsm inacheza kwenye watu milioni 4.5 kwa sasa.nairobi wao ni kwenye 3 milions.lakini pia kwa ukubwa wa jiji naona dsm ni kubwa zaidi kieneo ukilinganisha na nairobi.msongamano wa watu katika eneo la mraba(population density) hazijatofautiana sana katka majiji haya mawili
 
Tofauti ya Nairobi na Arusha ni ipi?!
daaaah kkuna ofauti kubwa sanaaaaaaa.in all aspects.labda wamefanana vitu kama hali ya hewa.kwanza nairobi is high built meaning kwamba ina majengo marefu na mazuri pia,kule wau ni wengi kuliko arusha,miundombinu kama barabara ni bora sana kwa upande wa nairobi kwani kuna hadi flyovers,barabara pana na nzuri,arusha amani ni nzuri ukilinganisha na nairobi.arusha hakuna sana uhalifu kama ilivyo nairobi,arusha ni nzuri pia sema tu ishu ni udogo ukilinganisha na nairobi
 
How about music umesahaua kucompare apo?
daaah kweli vipengele vingi sana sijagusia labda niandae makala part 2.kwakweli kwenye ishu ya muziki ebana dsm au tz ipo juu.kwanza varieties ni nyingi sana kama hip hop ya arusha na ya tz,bongo fleva,taarabu,mchiriku,singeli,dansi za kina twanga pepeta,dansi za kina msondo.hata wasanii wa bongo wanapendwa sana kule.
 
Mimi ntakuuliza swali tu moja mkuu, kuna baadhi ya watu hapa wana kasumba kuwa wakenya hawapendi watanzania, nataka kukuuliza, ulipojitambulisha kama mTz watu walikuchukulia vipi? walikuonyesha upendo ama chuki? Pole kwa kutoka nje ya mada.
 
Mimi ntakuuliza swali tu moja mkuu, kuna baadhi ya watu hapa wana kasumba kuwa wakenya hawapendi watanzania, nataka kukuuliza, ulipojitambulisha kama mTz watu walikuchukulia vipi? walikuonyesha upendo ama chuki? Pole kwa kutoka nje ya mada.
usijali tupo kwaajili ya kuelimishana. kwakweli mimi binafsi nimeishi nao jamaa vizuri sana hata baada ya kunifahamu kuwa ni mtz.hakuna sehemu nilibaguliwa eti coz sio mkenya. sema labda kwa stori za kitaa ni kwamba ukikaa kaa hovyo town kuna wahuni lazma wakulize tena kibabe sio kukutapeli bt kukuibia laivu.hiyo case ipo hata dar ukiwa mgeni ukakaa kifala wanakuliza.lakini huko nilipoishi there was full of peace and love
 
usijali tupo kwaajili ya kuelimishana. kwakweli mimi binafsi nimeishi nao jamaa vizuri sana hata baada ya kunifahamu kuwa ni mtz.hakuna sehemu nilibaguliwa eti coz sio mkenya. sema labda kwa stori za kitaa ni kwamba ukikaa kaa hovyo town kuna wahuni lazma wakulize tena kibabe sio kukutapeli bt kukuibia laivu.hiyo case ipo hata dar ukiwa mgeni ukakaa kifala wanakuliza.lakini huko nilipoishi there was full of peace and love

Ahsante kwa kuweka vitu wazi, ningependa waTz wajue kuwa wakenya hawana ishu kabisa nao, na kama wana biashara ama kazi ama wanataka tu kutembea, wana karibishwa sana. it's all love. shukran mtoa mada for your neutral approach.
 
Ahsante kwa kuweka vitu wazi, ningependa waTz wajue kuwa wakenya hawana ishu kabisa nao, na kama wana biashara ama kazi ama wanataka tu kutembea, wana karibishwa sana. it's all love. shukran mtoa mada for your neutral approach.
thank you Smatta. i had to tell the truth coz the truth will always set us free
 
Vyuo vinavyotoa kozi ya udaktari Kenya ada ni shillingi ngapi kwa fedha za Kenya, mf nairobi university na vinginevyo
 
kujipendekeza huku.yaani majiji yote duniani umeona dar tu nairobi ndo uyapambanishe?mbona ujafananisha nairobi na new york?acha umburura,tunajua lengo,haina haja ya kulinganisha piga kimya,kila mtu akae na maisha yake,
 
kujipendekeza huku.yaani majiji yote duniani umeona dar tu nairobi ndo uyapambanishe?mbona ujafananisha nairobi na new york?acha umburura,tunajua lengo,haina haja ya kulinganisha piga kimya,kila mtu akae na maisha yake,
hahahaaa ndio maana nkasema kufikiria hakuhitaji kutokwa na mapovu mkuu.povu la nini? unatokwa na mishipaaa.usicrem elewa mjingamimi
 
Back
Top Bottom