We kama mkoa unalingana na kata mbili za kijima na misasi ambazo ziko kwetu huku missungwi unategemea nini?! Eti ukiwa magomeni kinondoni wilaya, ukifika tu boma ilala wilaya, ukienda tu mbele kidogo veta temeke wilaya. Wakati hapo kwa gari bila foleni ni dakika 3 tu.