Dar es Salaam kuna kijiji?

vijiji vipo, hivi majuzi nilipita njia ya kutoka kigamboni kuelekea kimbiji (wilaya ya temeke) vijiji vipo vingi tu, hamna umeme na lami pia haijakamilika, kwa ufupi ni kijijini ingawa nao wapo jijini dsm.
 
Haya ndo matatizo ya kukurupuka kucoment bila kusoma mada, ebu soma mada afu coment upya

Aliyekurupuka ni wewe unayenirudisha kwenye mada bila kufuatilia mtiririko wa majibizano ulionifikisha hapo nilipofika.
 
Majiji hayana vijiji na vitongoji yana mitaa na Kata zake tu pamoja
 
Huenda ikawa amemaanisha kuna vijiji kama mikoa mingine au ni city tu mkubwq vijiji vipo vingi tu mkubwa mkuranga kimbiji msanga lugwadu na vingine vyote ni vijiji vya dar
Mkuu huko ni pwani
 
Sogea sogea mpaka isakamawe huku mhola ngosha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…