Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

B

Believe me bro.. diploma ndio watu wanaoajirika kwa sasa iv kuliko hao wa degree..
Mimi nimesoma diploma na degree zote za electrical nakwambia hiki kitu ni real.. sema kwenye kozi apo badilisha uchukue electrical au civil au mechanical.. izo zingine hazina wigo mpana.. fanya ivo bro utakuja kunishkuru tena ondoa hayo mawazo ya kukata tamaa
Big upppp sana!!! thanks!
 
basi hakuna haja ya kubishana tena...ubora wa chuo ni products zake na sio jina kama chuo flani kinachosifiwa kwa kuwa na elimu bora tz kumbe ni hewa tu....katika maswala ya uhandisi wa ujenzi na technolojia DIT wanastahili sana pongezi....
Sema UDSM unaficha ficha nini.

Hiki chuo hata sijui kimelogwa na nani. Acha nisiendelee. Naama mafisi yanajaa
 
Samahani!!! Nimefeli advance PCM Nimepata DEE nimeioenda kozi ya BIOMEDICAL ENGINEERING But nimekata tamaa ya kusoma tena!
nipo katika hatua za mwisho katika kufanya maamuzi hasa nikihisi nitapoteza muda kusoma kitu ambacho sina hata connection!!
Maana nshakatishwa tamaa wenzangu wanaenda Degree but mimi inaniuma nikienda Diploma !!
Sorry nini Ushauri wako juu ya kusoma diploma kozi hiyo???
Siku ukienda dit kusoma diploma utakutana na hao wa degree mnashare baadhi ya module ndo utagundua wewe mdo unasoma msingi wa kozi yako kuzidi wao
 
samahani jamani msaada namna ya kureset password ya dit mdogo wangu kaaply diploma sasa kasahau password yke, nimepambana kma siku tatu ila bado inasumbua , naomba msaada wenu
 
Hiki chuo pamoja na kile cha Mbeya na Arusha vilianzishwa maksusi kutengeneza mafundi mchundo Full Technician certificate aka FTC kwa ajili ya viwanda wakati wa Serikali ya Mwalimu Nyerere.

Vyuo hivi nguli 3 wakati huo vikiitwa Dar Tech, Arusha Tech na Mbeya Tech vilipokea wanafunzi toka shule za kitaifa za ufundi za Ifunda, Moshi Tech, Tanga Tech na nyingine chache ambazo zilifundisha watoto kuwa mafundi.

Tangu sera yetu ya elimu ivurugike, vyuo hivi sasa vimegeuka kutengeneza Ma-Engineer ambao ki-uhalisia ni ma-engineer wa vitabuni tu, ujuzi wa kazi hamna.

Sisi Tanzania tuna matatizo mengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom