Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,318
Habari wanabodi,
Gari imemgonga mwanafunzi wa kike na kufariki papo hapo, gari imekimbia, kwa sasa polisi ndio wanafika eneo la tukio.
Amegongwa mida ya 06:32 Asubuhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari imemgonga mwanafunzi wa kike na kufariki papo hapo, gari imekimbia, kwa sasa polisi ndio wanafika eneo la tukio.
Amegongwa mida ya 06:32 Asubuhi.
Sent using Jamii Forums mobile app