mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
Danguro hili lipo maeneo katikati na mji. Ni danguro lenye historia ndefu.
Kiufupi limewaangamiza vijana wengi wa kike na kiume, wanawake wanaojiuza hapo ni waathirika wa ugonjwa wa UKIMWI na wanausambaza kwa makusudi.
Makahaba kutoka sehemu mbalimbali za miji na mitaa mbalimbali ya wanawake wenye kujiuza wakikosa masoko huja Kaumba. Asilimia mia pasina shaka wanawake wa kaumba wana moto yaani umeme (UKIMWI).
Vijana wengi masikini wakifika pale haina kujadili, unauziwa buku tano mpaka tatu, ikifika night sana majimama yanachukua hadi buku mbili. Ndugu zangu wanaume mabingwa wa kujitoa muhanga, utamu mpelekee mkeo.
Kaumba ni UKIMWI mtupu, narudia kaumba pana UKIMWI na magonjwa yote ya zinaa, vijana ninaowafahamu na sasa wapo mbele ya haki ni wengi. Wito kwenu serikali, pale kuna guest kama nne hivi zimejaza makahaba.
Huduma zote za kikahaba zipo ndani, kwa miaka mingi zimekuwa zikifanya biashara za ngono, polisi wamekuwa wakipita tu na hakuna mabadiliko.
Serikali ifunge kabisa ule mtaa. Mkuu wa mkoa morogoro Kaumba ni kiwanda cha majeneza, kaumba ni killing zone ya vijana.
Wamiliki wa guest za Kaumba ni maajenti wa shetani.
Kiufupi limewaangamiza vijana wengi wa kike na kiume, wanawake wanaojiuza hapo ni waathirika wa ugonjwa wa UKIMWI na wanausambaza kwa makusudi.
Makahaba kutoka sehemu mbalimbali za miji na mitaa mbalimbali ya wanawake wenye kujiuza wakikosa masoko huja Kaumba. Asilimia mia pasina shaka wanawake wa kaumba wana moto yaani umeme (UKIMWI).
Vijana wengi masikini wakifika pale haina kujadili, unauziwa buku tano mpaka tatu, ikifika night sana majimama yanachukua hadi buku mbili. Ndugu zangu wanaume mabingwa wa kujitoa muhanga, utamu mpelekee mkeo.
Kaumba ni UKIMWI mtupu, narudia kaumba pana UKIMWI na magonjwa yote ya zinaa, vijana ninaowafahamu na sasa wapo mbele ya haki ni wengi. Wito kwenu serikali, pale kuna guest kama nne hivi zimejaza makahaba.
Huduma zote za kikahaba zipo ndani, kwa miaka mingi zimekuwa zikifanya biashara za ngono, polisi wamekuwa wakipita tu na hakuna mabadiliko.
Serikali ifunge kabisa ule mtaa. Mkuu wa mkoa morogoro Kaumba ni kiwanda cha majeneza, kaumba ni killing zone ya vijana.
Wamiliki wa guest za Kaumba ni maajenti wa shetani.