Dangote mnabadili siku ya interview?

Dangote mnabadili siku ya interview?

Mimi ni mmoja wa watanzania mliotuita kwenye interview ya tarehe 21 sasa mbona mnazingua tena eti mmebadilisha halafu hamjasema itakuwa lini
eti mpaka mtakapo tutaarifu tena mnatupa hofu sana bana.

mi ninahofu nafasi yangu isije ikachakachuliwa ila nazidi kuomba Mungu tu (ewe mwenyezi MUNGU mjaalie mja wako huyu alieandika makala hii apate kazi yake nzuri tu Dangote).

Semeni wazi utakuwa lini tena tuondoeeni hofu bana maisha yanatutesa

Jaman update za dangote vp
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom