Danger danger Magomeni Mapipa Hatari weye

Danger danger Magomeni Mapipa Hatari weye

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
530586_385138258228418_1994304779_n.jpg
 
haya matitizo siwezi kuwa na dem aina hii
 
haya matitizo siwezi kuwa na dem aina hii

Hujui tu unachokisema wewe! Siku utakayojikoki na ukaonja utamtaliki mkeo kimbaumbau (I.e
mwembamba kama mwali ooops kama muwa)!
 
Wajua nikadhani ni aina mpya ya vibaka imeibuka...nikafungua ili na mimi nipate uelewa niweze kuwa na tahadhari.

Kumbe hawa, mbona hata kwetu wapo hawa?
 
mie sijaona kitu hapo, sijui pc yangu mbovu!!!!
 
Zamani kulikuwa na watu wanaitwa chinja chinja au nyonya damu ndo haya hapa..!!
 
amna sasa huyu aoni kama ni mzigo na kwenye mazingira yenye shida ya maji anaweza akateseka mana anatumia maji mengi akiwa chooni
 
Hujui tu unachokisema wewe! Siku utakayojikoki na ukaonja utamtaliki mkeo kimbaumbau (I.e
mwembamba kama mwali ooops kama muwa)!

te!te!te mkuu nipe siri ya utamu wa hao mabwenyenye.!!
 
Wanatia hasara sana wa aina hii. Ya mlo na maintenance. Ukiwa na demu huyo gari kama vitz lazima kivunjike spring. Nguo lazima mita zizidi, kwenye maakuli usiseme, kitanda zaidi ya queen size yaani everything comes xxl.
 
Wanatia hasara sana wa aina hii. Ya mlo na maintenance. Ukiwa na demu huyo gari kama vitz lazima kivunjike spring. Nguo lazima mita zizidi, kwenye maakuli usiseme, kitanda zaidi ya queen size yaani everything comes xxl.

Naona unajifagilia kiaina, kama vipi tupia kapicha kako tukupe alama.
 
Back
Top Bottom