Mimi nasubiri tu nije nimteke huyo mtoto kwa kunipenda, mimi ni kinara wa kupendwa na kupenda watoto sijui kwa nini...
atapewa tu wawahi clinicHata mimi naona bed rest inamhusu hapo inawezekana mimba haijatoka
utanifanya niwehuke Yan shida hizi nazopitia saa hizi Niko macho halaf uje umteke naona itakua umeamua kuniua kwa kukusudia nitapata tabu Sanaa labda uje umsalimie urudi usimteke bana
Kumteka kwangu ni kwamba nitamfanya anipende mimi sana maana nitakuwa rafiki yake wa karibu sana.
Huwa nakuwa bega kwa bega kucheza na watoto ndio maana wananipenda, kwa hiyo akiwa na wewe, mimi nikitia mguu anakuja kwangu na kukuacha
Mke wangu anamimba ya week 11 jana nimemaliza show nilipiga ya kibabe asubuhi akasema ameona matone ya damu, sasa jioni pia imeendelea kutoka, roho inaniuma sana ndo tunapoteza kiumbe chetu daah inaniuma sana wakuu ndo alikua wa kwanza huyoo. Pili anasema hasikii maumivu yoyote yale ila damu ni nyepesi na sio mabonge mabonge. Msaada ushauri jamaaan nataka kesho twende hospitali
Hatari sanasi ndio hapo halaf kuku wako mwenyewe manati ya mini? Huyo dada anaweza pewa bed rest
Pole mkuu, yawezekana bado kizima, kikubwa tu nenda hospital!!Aseee inaniuma sana nimeua kiumbe changu mimi mwenyewe
Itakua anamjazia masikio na puakwa Nini mnawakomoa
Sijui kwa wenzangu, ila mimi simkomoi hali hiyo inatokea katika mpango mzima wa kuhondomola!!kwa Nini mnawakomoa
Sijui kwa wenzangu, ila mimi simkomoi hali hiyo inatokea katika mpango mzima wa kuhondomola!!
Kwanza kabisa maumbile yangu makubwa kwa wastani, kiasi tukifanya huwa ananiambia inagota mwisho, nae mizuka ikimpanda huwa anaitaka yote kwa mwendo wa nga nga nga!! Hapo ndio anakuwa kikojozi kama mwendawazimu.
Tumejaribu kujizuia imeshindikana,
Halaf isitoshe mimba zake hazitaki kashikashi!! Hata akihangaika na vikazi kidogo huwa kuna uwezekano wa kuchomoka, sasa tumeamua safari hii ikipatikana tuache mpaka kwichi kwichi!! Maana wifi yako anapokuwa anafika mshindo mkuu huwa ni patashika nguo kuchanika.
ni kukomoana best Kwanza hata hao wake zao nawasifu wengine kipindi mimba ni changa hatutaki hata kuguswa
Nimecheka sana Kama mazuri vile Sasa mnajua akibeba hataki Mambo mazito kwa nnmsijizuie mpaka mimba ikakomaa?? Jitahidini bana s ajabu saa hizi ungekua unaitwa baba na namsifu Mimi Kuna muda sitaki hata kuiona sura ya mwenzangu sembuse hayo mambo
Mke wangu anamimba ya week 11 jana nimemaliza show nilipiga ya kibabe asubuhi akasema ameona matone ya damu, sasa jioni pia imeendelea kutoka, roho inaniuma sana ndo tunapoteza kiumbe chetu daah inaniuma sana wakuu ndo alikua wa kwanza huyoo. Pili anasema hasikii maumivu yoyote yale ila damu ni nyepesi na sio mabonge mabonge. Msaada ushauri jamaaan nataka kesho twende hospitali
Mwingine anaogopa m'ume kuchochora kwingine anaamua ajikaze ili m'ume asichepuke, kumbe unaumia mwenyewe maana hata ujikaze vipi bado kama kapanga kuchepuka atachepuka tuuuu. Ni heri mtu ujijali afya yako