Dalili za Lema kuukosa ubunge

Dalili za Lema kuukosa ubunge

Atashindwa viabaya mno, wakni wana arusha wanahitaji waziri. Lema ni mropokaji tu, aende mwanza akatulize upepo wa kile alichokianzisha cha kuropoka halafu kaingia mitini? yeye alivyojiropokea kwani cdm hawana uongozi mpaka mropokaji kama yeye akaachiwa. Na ubunge lazima aukose!!! Wananchi wamestuka kwa sasa

Umeshakunywa dadii nini:what: Lema atashinda kwa kishindo mpaka mshindwe kupost ugoro wenu humu kwa wiki nzima, Archuga watu wana uchungu sana na fisiem, yaani hata hao waliompa tojo kura za udiwani sijui wametokea kona gani ya mkoa:what: tutaisambaratisha fisiem vibaya sana na kwa hasira😡
 
Da jamaa upo arusha wewe?tuulize tulio arusha uku watu hawahitaki ccm ata magufuli akisema bandari ya dar iamie uku
 
Umeshakunywa dadii nini:what: Lema atashinda kwa kishindo mpaka mshindwe kupost ugoro wenu humu kwa wiki nzima, Archuga watu wana uchungu sana na fisiem, yaani hata hao waliompa tojo kura za udiwani sijui wametokea kona gani ya mkoa:what: tutaisambaratisha fisiem vibaya sana na kwa hasira😡
Chadema ni wapumbavu na malofa na kila anayeishabikia chadema akapimwe akili
 
Naziona dalili mapeema za lema kuukosa ubunge,dalili izo ni 1. Upepo wa mabadiliko ambao unaanza kuchipukia ccm 2. Wanachi kutokujitokeza kwa wingi ktk upigaji kura na hli limeonekana ktk chaguzi za lushoto lulindi na sehemu zinginezo ktk level ya kata 3.nguvu ya lowasa ss haitakuwepo tena ktk kupaisha ushindi..ninawasiwasi sana ukawa icpojipanga vzr tutamkosa kamander lema bungeni
Katawadhe
 
Ukawa hata mkiambiwa ukweli hamuwezi kuukubali, kama tulivyowathibitieni wakati wa kampeni kuwa EDO hawezi kuwa raisi wa Tz mkabishi kwa matusi, kashfa na kejeri ndivyo itakavyokuwa Lema, atashindwa vibaya sana. Watz kwa wingi wetu bila kujali kanda zetu, tumeishagundua kuwa ccm ya magufuli inatosha. Ukawa hawana sera yoyote tena sera zote kazichukua magufuli kikamilifu. Count my words.
 
Anayedhani CCM itashinda Arusha mjini anaota ndoto ya saa sita mchana.


Unaweza ukawa uko sahihi mkuu, ila nimesikiliza hotuba za Lema katika kampeni zake...inabidi uapunguze kumponda Magufuli, uelewa wa Watz wengi kwa sasa unamkubali Pombe, kumshambulia kwa sasa kuna madhara makubwa sana. Lema anahitaji awe mbunifu kwenye kampeni zake, ule mtindo wa kushambulia watawala hauna tena mashiko kwa sasa.
 
Wacha arudi ili aimalizie kabisa hiyo arusha yao! Wajiulize Toka LEMA Aingie huko ni shughuli na makao makuu ya programmes nyingi za east africa zimehamishiwa Kigali....na badoo!! Mtanyoooka tu!
 
Arusha kuna watu wenye uelewa mkubwa na pia wana elimu. Lema atashinda kwa kishindo.
 
Ccm mmeisahau sana. Haya maneno yenu ya kuwakebehi wananchi baada ya kubadilisha matokeo ya kura zao yatawagharimu.

Usisahau kwamba ccm na polisi wenu mko wachache sana. Na sikila siku mtakuwa mnalala na bunduki.

Usione wamenyamaza ukadhani wanaamani na wamesahau.

Endeleeni kuweka mafuta kwenye moto. Mtaona.
Wakishinda CCM Wameiba KURA,Akishinda ZITTO Kaachiwa jimbo na CCM na wakishinda Chaggadema ndo halali.
 
Mkuu unachokiwazia ni kile ambacho nilitaka kukileta hapa jamvini baada ya kumaliza ukazi wangu jijini arusha hivi majuzi tu ambapo, kwa uchunguzi wangu kwa siku nilizokaa, kwakweli wananchi wameguswa sana na hotuba ya magufuli, na kusahau upinzani kwa kiwango kikubwa, wanachotaka wao ni maendeleo na si vyama, hivyo kama kuna chama kitawaletea maendeleo basi watamchagua mgombea wake, kwa asilimia kubwa wananchi wa Arusha wanalalamika kwa lema kushindwa kutimiza nyingi ya ahadi zake, mpaka sasa, naona akienda kuanguka, kwa haki kabisa bila figisu figisu yoyote.
 
Mambo yatu yanakuhusu nini,subirini muone mzee wenu monabangi anavyo adhirika,utafiti wetu tunashinda zaidi kura laki moja.ccm Arusha haipo tena.
 
Atashindwa viabaya mno, wakni wana arusha wanahitaji waziri. Lema ni mropokaji tu, aende mwanza akatulize upepo wa kile alichokianzisha cha kuropoka halafu kaingia mitini? yeye alivyojiropokea kwani cdm hawana uongozi mpaka mropokaji kama yeye akaachiwa. Na ubunge lazima aukose!!! Wananchi wamestuka kwa sasa
Tusiandikie wino wakati mate ya bure yapo. Tusubiri tuone.
 
Akishindwa lema ubunge arusha mjini nitatembea km 10 uchi mtaani
 
vipi kuhudu ushindi wenu es viti vya udiwani wa 24/1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom