Dalili za Lema kuukosa ubunge

Dalili za Lema kuukosa ubunge

canal59

Member
Joined
Feb 13, 2015
Posts
64
Reaction score
36
Naziona dalili mapeema za Lema kuukosa ubunge, dalili hizo ni

1. Upepo wa mabadiliko ambao unaanza kuchipukia CCM

2. Wananchi kutokujitokeza kwa wingi ktk upigaji kura na hli limeonekana ktk chaguzi za lushoto lulindi na sehemu zinginezo ktk level ya kata

3. Nguvu ya lowasa ss haitakuwepo tena ktk kupaisha ushindi..ninawasiwasi sana ukawa icpojipanga vzr tutamkosa Kamanda Lema Bungeni.
 
Naona unaota ndoto za mchana wewe, Lema atashinda kwa kishindo kikubwa sana. Chezea Arusha weee
 
Mkuu,
Jifunze kuandika vema kiswahili, kuna tofauti kubwa kuandika hapa jamvina na kama unamtumia mwenzi wako.

Lugha uliotumia kuandika si kiswahili sahihi na point zako zitakuwa si sahihi pia.

Over!
 
Na Magufuli anavyopiga kazi ndo anamharibia kabisa Lema. Ni kama implicit campaign fulani hivi kwa sisiemu!
 
Ccm mmeisahau sana. Haya maneno yenu ya kuwakebehi wananchi baada ya kubadilisha matokeo ya kura zao yatawagharimu.

Usisahau kwamba ccm na polisi wenu mko wachache sana. Na sikila siku mtakuwa mnalala na bunduki.

Usione wamenyamaza ukadhani wanaamani na wamesahau.

Endeleeni kuweka mafuta kwenye moto. Mtaona.
 
Anayedhani CCM itashinda Arusha mjini anaota ndoto ya saa sita mchana.
 
Me ckupingi ila kwa izo dalili czan Ka kuna ushindi wa namna iyo
 
Vipi umepatwa na homa ya dege dege muda huu..??
Lema kushindwa na sawa sawa na kusema ccm kushinda jimbo la Moshi mjini.
 
Pwilo zungumza hoja co porojo tu..haisaidii kuweka porojo
 
Ni rahisi ngamia kupita tundu la sindano kuliko ccm kushinda Arusha
 
Naona unaota ndoto za mchana wewe, Lema atashinda kwa kishindo kikubwa sana. Chezea Arusha weee
Atashindwa viabaya mno, wakni wana arusha wanahitaji waziri. Lema ni mropokaji tu, aende mwanza akatulize upepo wa kile alichokianzisha cha kuropoka halafu kaingia mitini? yeye alivyojiropokea kwani cdm hawana uongozi mpaka mropokaji kama yeye akaachiwa. Na ubunge lazima aukose!!! Wananchi wamestuka kwa sasa
 
Mimi ni team Magufuli na team CCM!Ninaishi Chuga,nasema hiviiiii!!ni bora ubunge auchukue LEMA kama mpinzani kamili kuliko kumpa MONABAN mnafiki ndani ya chama!Monaban ni msaliti aliyevaa ngozi ya kondoo!CCM hatumtaki Monaban ni heri libaki kwa Lema ambaye anajulikana ni mpinzani kamili
 
Harudi Mjengoni Lema.

Anarudi tena kwa kishindo!Arusha ni moto mwingine huu mkuu ahahaha!Watu tuna misimamo kinyama

CCM hata isali usiku kucha uchi wa mnyama haiwezi shinda Arusha!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom