Dalili za kuwa frustrated

Dalili za kuwa frustrated

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Ukiona mtu anatuma tuma picha face book na kuanza kutaka kusifiwa mara sijui pendeza wewe ujue hiyo dalili ya mtu kuanza kukata tamaa na kuwa frustrated.
 
Naacha pombe maana hang over inanifanya nisielewe baadhi ya post
 
Naacha pombe maana hang over inanifanya nisielewe baadhi ya post

Ila kuna post zingine inabidi ulewe kwanza ndipo uzielewe. Ngoja nikalewe then nirudi isoma tena hiyo post yake huenda nitaielewa
 
kwel mkuu..unakuta picha yenyewe kaedit af raia nikupongeza tu wakat sura original tunaijua:loco::loco:
 
Mi najizuia sana kuchangia post za hivi maana naanza kwaresma leo
 
Ukiona mtu anatuma tuma picha face book na kunza kutaka kusifiwa mara sijui pendeza wewe ujue hiyo no dalili ya mtu kuanza kukata tamaa na kuwa frustrated
Kwani face book ilianzishwa kwa malengo gani vile???
 
Back
Top Bottom