Mkuu, dalili kubwa ya upungufu wa nguvu ya kiume ni..... Kukosa pesa/helaKwa wanawake wengi hawajui dalili mojawapo ya kupungukiwa nguvu za kike ni kujinenepea bila sababu za msingi.
UmentoneshaMkuu, dalili kubwa ya upungufu wa nguvu ya kiume ni..... Kukosa pesa/hela
Hayo mengine ni mbwembwe tu
1. Acha kukula mabawa/miguu ya kuku na chips.Tunaongelea nguvu za kike
Nimechoma hadi kwenye mfupaUmentonesha
Sana yaani unaomba namba ya mtu unakaa nayo hadi mwaka humtafuti kumbe nguvu za kiume ni mtihaniNimechoma hadi kwenye mfupa
Mkuu, mistaki utani na wanaume wa Daslam....Sana yaani unaomba namba ya mtu unakaa nayo hadi mwaka humtafuti kumbe nguvu za kiume ni mtihani
Nina wasiwasi na hii list ujue?1. Acha kukula mabawa/miguu ya kuku na chips.
2. Kunywa juice ya tende.
3. Kula ugali na mboga zenye wanga.
4. Fanya mazoezi kila asubuhi uamkapo.
5. Kunywa maji ya kutisha.
6. Mpende mwenza wako.
7. Jipende na mpende mwenzio.
Naomba nisiseme maneno mingi tafadhali.....Nina wasiwasi na hii list ujue?
Nguvu Za Kike Zipi? Za Kufanya Tendo La Ndoa Au Kubeba Vitu Vizito?Kwa wanawake wengi hawajui dalili mojawapo ya kupungukiwa nguvu za kike ni kujinenepea bila sababu za msingi.